masluphill
JF-Expert Member
- Jul 4, 2012
- 540
- 259
Wana UAMSHO rudini darasani,vinginevyo mtatumiwa saana na CCMizi,hamjajua tu kama mshatumiwa na sasa hamtakiwi kwa kuwa kwa sasa hamna kazi ya kuwafanyia?,we vuta subira mtatakiwa tena senso ikiisha baada ya kuwa mmeorodheshwa kwa lazima mbali na TANGAZO lenu kuwa msilm yeyote atakae he,,sa,,bi,,w.a ni ''KHAFIRI'' Ww vp? siku zinakwisha ushachukua ukhafiri wako?,Umeyaona ya shekh PONDA tu, ya maasikofu hujayaona kweli wewe huiwezi siasa!!Waislam wanahaki ya kudai kipengele cha dini ktk sensa.kwanini wadai tembelea web hizi upate reference
1) www.wikipedia.com/tanzania
2) www.arc.com/tanzania
web zote hzo zinatoa idadi ya watanzania kwa mujibu wa dini yao wakati tangu 1967 watanzania hatuja hesabiwa kwa mjibu,wa dini zetu.swali hawa WA RC Takwim hz wanazitoa wapi????
USHAURI:Achaneni na chama cha mabwepande,PANDE ndo ficho lao kunasiku watawaficha huko viongozi wenu bila huruma,hawana urafiki hao zaidi ya kuwatumia na kuwabwaga sasa mmebwagwa cha ajabu mtarudiana tena.JIUNGENI m4c buuuure(ila mvue uamsho huku ni m4c tu).