so 11+8=96(11×8)+8=96

8x11=88 then add 8 = 96 vip bado inahitaji kujiuliza wewe nani ili uandike 40?nisiandike 40 mi nani??
Were kalinzi nyumbani eqn ya (3) siyo eqn inayoitajika kujumlisha na eqn ya nane in ya saba anbayo haipo hapo fikiri kidogo mbona hesabu ya darasa la tano hiyo .Kweli hesabu ningum kama watu wanashindwa hesabu ndogo kama hii,sasa sijui hesabu za advance walisomaje.
Wengine wana idea na hesabu,wengine wanatazamia majibu(heli utazimie upate) .
Sasa najiuliza watu tutakapokuj kuwa wazazi hivi madaftali ya watoto ya hesabu yatakaguliwa kweli?.
Fanya ufanyavyo lakini jibu ni 40,kwa muundo wa suali na trend yake ilivyo.Mtu anatengeneza trend yake kwa kuongeza namba hiyo hairuhusiwi,may be zingekuwa AP,or GP lakini hiyo nihesabu yakawaida kabisa.
1+4=5.........(1)
2+5+(A)=12--------(2) ukisolve hiyo A utapata 5 ambalo ni jibu kwenye eqn (1)
3+6+(B)=21.........(3)ukisolve hapa B utapata 12 ambalo nijibu kwenye eqn(2).
Kwa trend hii basi unajumlisha namba ulizopewa na ukipata jibu unajumlisha na jibu la juu.
Kwahiyo ili kupata jibu sahihi utachukuwa
8+11 halafu utajumlisha jibu la juu kabla ya hii eqn(3) ambalo ni 21.
8+11+21=40.
Hili ndio litakuwa jibu sahihi iwe masika au kiangazi,Jua au Mvua.
Let think from second Qns
If we take first answer and add to second Qns can we obtain the same Qns?
Follow the steps
From 2nd Qn
Take 4 and add to next Qn
4+2+5=12
Take 12 and add to next
12+3+6=21
If 2nd and 3rd Qns went well therefore
Last Qns follow the same
Take 21 and add to last Qns
21+8+11=40
Hence 40 ans
Ok...fikiria made ya pili ndio utajua ni rahisi kiasi gani.40..
wala sio kwa ajili ya genius, ni rahisi mno
Haiji mvua wala kiangazi....wewe ni KILAZWAAA.Kweli hesabu ningum kama watu wanashindwa hesabu ndogo kama hii,sasa sijui hesabu za advance walisomaje.
Wengine wana idea na hesabu,wengine wanatazamia majibu(heli utazimie upate) .
Sasa najiuliza watu tutakapokuj kuwa wazazi hivi madaftali ya watoto ya hesabu yatakaguliwa kweli?.
Fanya ufanyavyo lakini jibu ni 40,kwa muundo wa suali na trend yake ilivyo.Mtu anatengeneza trend yake kwa kuongeza namba hiyo hairuhusiwi,may be zingekuwa AP,or GP lakini hiyo nihesabu yakawaida kabisa.
1+4=5.........(1)
2+5+(A)=12--------(2) ukisolve hiyo A utapata 5 ambalo ni jibu kwenye eqn (1)
3+6+(B)=21.........(3)ukisolve hapa B utapata 12 ambalo nijibu kwenye eqn(2).
Kwa trend hii basi unajumlisha namba ulizopewa na ukipata jibu unajumlisha na jibu la juu.
Kwahiyo ili kupata jibu sahihi utachukuwa
8+11 halafu utajumlisha jibu la juu kabla ya hii eqn(3) ambalo ni 21.
8+11+21=40.
Hili ndio litakuwa jibu sahihi iwe masika au kiangazi,Jua au Mvua.
Good Sky!1+4=5
2+(5x2)=12
3+(6x3)=21
8+(11x8)=96
1+4=5
2+5=12 (2+5=7+5=12)
3 +6=21 (3+6=9+12=21)
4+7=32 (4+7=11+21=32)
5+8=45 (5+8=13+32=45)
6+9=60 (6+9=15+45=60)
7+10=77 (7+10=17+60)
8+11=96 (8+11=19+77) or ( 8×11)+8=96