Driz de Mafwele
Member
- Dec 7, 2025
- 72
- 239
Inahuzunisha sana maelezo aliyotoa gwiji na mhasisi wa bongo fleva Godfrey Tumaini Dudu Baya vipimo alivyofanya Muhimbili kuwa siyo sahihi na uhalisia.
Anasema asingeenda India angepooza milele.
Katumia dollar elfu 20 kufuata matibabu India.
Msikilize zaidi hapo chini kwenye Video.
Soma ufafanuzi wa Muhimbili:Muhimbili watolea ufafanuzi Hoja zilizotolewa na Dudubaya kuhusu MRI
Anasema asingeenda India angepooza milele.
Katumia dollar elfu 20 kufuata matibabu India.
Msikilize zaidi hapo chini kwenye Video.
Soma ufafanuzi wa Muhimbili:Muhimbili watolea ufafanuzi Hoja zilizotolewa na Dudubaya kuhusu MRI