Kwa lipi Lowassa apewe nchi?

Kwa lipi Lowassa apewe nchi?

lowasa ni mgonjwa alafu ni jambazi sugu.....ndo maana alikataliwa hata na mwalimu. Hata mr dhaifu aliokataliwa ona sasa matokeo yake. afrika haijawahi kuwa na rais bogus km kikwete. ASIYESIKIA LA MKUU.......
 
Yaani habari ya mjini Lowasa ndiyo Rais wa tano tz.hata kama akihama chama kura yangu ataipata tu.mpaka leo sijaona mrithi wa jk zaidi ya Lowasa.
 
Katuni+Feb+2.jpg
 
wewe kama unaona hafai usimpigie kura,wale tunaona alicho kifanya tunamtaka asimame na kwajasho na nguvu yetu atashinda 2015 ni Lowassa
 
Kuna dalili nyingi za jinsi ambavyo wengi wa wana ccm hawakujiandaa na wala kumtaka Lowassa awe mrithi wa JK.

Ila wengi walianza kufikiria kuhusu watu kama Sitta, Magufuri,Membe na Wengineo maarufu ndani ya CCM.Kulingana na upepo unavyovyuma,kwakweli watu ni kama hawana la kufanya,wametingwa na kuzidiwa.

Lowassa amejipanga kwa mbinu na mikakati mingi ya kimantiki na isiyo ya kimantiki,ilmradi tu atimize hitaji la moyo wake la kuwa rais.Hakika ni wazi kuwa kwa hapo alipofikia na uzoefu wake ktk kuunda mtandao wa ushindi tangu miaka ya 90,kufuatwa na kuombwa agombee na watu mbalimbali,panatosha sasa kumpisha Lowassa hata kama hamkumtaka kwani ni wazi ameshawazidi kete woote waliojitosa kuwania kiti ndani na nje ya CCM.

Endopo CCM watathubutu kumtosa Lowasa,natabiri kuwa Lowasa anaweza atumie falsafa ya TUKOSE WOTE. Yaani anaweza kuamua kuhasi chama ama kwa kuwaunga mkono UKAWA au hata kujitoa CCM na kufanya kama akina Mwai Kibaki,yaani kugombea kwa tiketi ya chama kingine na kuibuka mshindi,kwani anasababu nyingi za kuwa rais.

CCM, je, mtampisha au mtamtosa na liwalo na liwe ?
 

Attachments

  • 10405360_1080115002018362_8868298688901774960_n.jpg
    10405360_1080115002018362_8868298688901774960_n.jpg
    27.3 KB · Views: 138
Ccm haina rasimali watu imezungukwa na mafisadi hawana dhamira safi ya kuitoa nchi katika mkwamo huu tunahitaji fikra mpya huru mbali na hawa wanamtandao wa ufisadi

Wampitishe nanai sasa maana naona karibia kila mtanzania ni yuleyule!
 
Kwa lipi la maana alilolifanya Lowassa hadi apewe nchi?

Kuna sababu nyingi za kusema Lowassa hafai kuwa rais wa nchi hii licha ya kuwa mgonjwa wa macho na mgongo pia ni mmoja wa watu 11 waliotajwa kuwa ni mafisadi.

Amefanya nini la maana hadi tumpe nchi? Unamkumbuka kwa lipi zaidi ya kujiuzulu?

Pesa zake sio tiketi kuwepo ulazima wa kuingia ikulu. Kama anatafuta umaarufu,umaarufu sio kwa mazuri tu hata ufisadi na kujiuzulu napo aljulikana ndani na nje ya nchi.

Sababu zipi za kunishawishi kumpigia kura Lowassa awe Rais wa awamu ya tano?
Lowasaa hapaswi kupewa nchi yo yote hapa duniani. Sio kiongozi kabisa, hana sifa anatumia hela kuhonga watanzania ili ukweli ni kuwa sio kiongozi
 
Hivi Watanzania Ninani Alietologa? Historia Ni Mwalim Mkuu, Ukitaka Uangalie Mwisho Wa Maisha Yako Mwangalie Aliekutangulia, Ukiwa Mlevi Waangalie Walevi Walishi Vipi Na Waliishia Wapi Katika Maisha Yao Ya Ulevi, Sasa Watanzania Wanajua Kabisa Historia Ya Watu Wanaotafuta Madalaka Kwa Kutumia Pesa, Mwisho Wake Ni Kuliangamiza Taifa, Ndio Maana Hata Mwalim Alipa Kutuonya Kuwa Makini Na Watu Wa Aina Hii, Bado Hatuelewi, Mnataka Mungu Ashuke Mwenyewe Atuambie?
 
Msamaha wa deni la Taifa na mapambano ya umaskini Tanzania.
Mh. Edward Ngoyai Lowassa aliitetea nchi yetu wakati akiwa Waziri ofisi ya Makamu wa Rais aliyeshughulikia Umaskini na Mazingira. Ilikuwa wakati wa mkutano wa wahisani nan chi masikini huko Geneva, Uswis, mkutano uliofanyika kati ya tarehe 26 na tarehe 30 Juni 2004
Aliwaeleza wahisani jinsi yeye na wenzake waliopewa jukumu la kuondoa umaskini Tanzania wanavyopata shida kutokana na fedha nyingi kutumika kulipa deni la nje badala ya kufanya maendeleo ya ndani ya nchi. Asilimia arobaini ya pato la taifa lilikuwa linatumika kulipa deni.
Viongozi wa mataifa tajiri wakashtuka kusikia ile hotuba ya Mh. Lowassa. Haraka sana wakafanya maamuzi makubwa, wakatangaza kuisamehe nchi yetu deni lake. Baada ya tangazo hilo, muda si mrefu Tanzania ikafaulu kuingia kwenye mtandao wan chi zinazosameheka kutokana na kuelemewa na deni, yaani HIPC (Highly Indebted Poor Countries Initiative).
Mzigo wa kulipa madeni ulipoondolewa, tulishuhudia serikali hasa kipindi cha awamu ya tatu (2000-2005) ikijenga barabara kuu zote kwa kasi ya ajabu lengo likiwa ni kuunganisha mikoa yote ya Tanzania, daraja la Mkapa likapewa kipaumbele , pia miradi mingine kama uwanja wa mpira wa Taifa wa Mwalimu Julius Nyerere ulijendwa, Majengo makubwa maarufu kama vitega uchumi yaliibuka kama uyoga, mfano ni Millenium Tower, Ubungo Plaza, Benjamin Tower, PPF Tower, nk.
Hiyo haitoshi serikali ilimudu kuimarisha sarafu ya shilingi kwenye uchumi, mfumuko wa bei za bidhaa ulidhibitiwa na pato la Taifa liliongezeka kwa kasi. Hata wakati serikali ya awamu ya nne inaanza kazi mwaka 2005 ilijinadi kuwa ina fedha nyingi ambazo zimeachwa na serikali ya awamu ya tatu
Hii inaonesha jinsi Lowassa alivyokuwa na ushawishi ndani na nje ya nchi, na jinsi alivyomsaidia Mh. Rais Benja
 
Mambo ni mengi lakini hebu tuangalie haya kwa uchache wake:

1. Alituhumiwa na Nyerere kuwa utajiri wake una utata, haiji kichwani eti Nyerere hakuwa informed sawa sawa

2. Ndiye alikuwa Shwaiba wa JK, JK alichotufanyia watz, hata watoto wanajua HAIKUBALIKI

3. Alipatwa kashfa ya ufisadi na wizi wa mali za umma kwa mikataba mibovu, ukiiba uko waziri mkuu utaacha ukiwa RAIS?

4. Afya yake as we write sio nzuri

5. Ni Mbunge ambaye kwa kipindi cha miaka 8 hajawahi kuchangia bungeni hoja yoyote, maana yake ni nikilaza sana, maana huwezi sema hakuna matatizo kwa namna yoyote ile Tanzania ambayo yanamgusa au hata jimboni kwake tu. Bubu ataongoza nchi??

6. Wakati anajihuzuru alisema anafanya hivyo kwa maslahi ya CCM na Serikali, hakika ndo maana amekaaa kimya kusema ukweli wote maana hakufanya kwa maslahi ya wananchi, leo wananchi wampigie kura tapeli wa kisiasa huyu??? wananchi wa wapi TZ hii ambayo maisha magumu kila siku? HAIWEZEKANI

Ushauri ili kutimiza ndoto yake, aanzishe benki/chuo ili awe rais wa benki/chuo

Naomba kuwasilisha
 
Hayo maswali mashabiki wake hawana majibu yake. Wana macho hawaoni. Wana masikio hawasikii. Bora wale anaowagawia noti utasema hao ni mbuzi wanakula kwa kamba zao.
Kuna wengine hawapati chochote lakini wanaamini hana kashfa eti, eti Richmond ni ya JK, bila kujiuliza si aliujua na kama aliujua aliushughulikia burebure? Mpaka nchi inapata hasara huku akijua na akiwa waziri mkuu tayari ni msaliti hata kama hajachukua sumni. Kwa hivyo suala eti ana maamuzi magunu ni UPUUZI MTUPU. Maamuzi magumu angeyafanya hapa kwa kukataa Richmond lakini aliweka noti mfukoni akaingiza nchi hasara.
Hiyo namba 5. Waulize wakuletee clip hata moja Lowassa akitoa hotuba inayomuonesha ushupavu wake kama kiongozi, hana. Yaani yupo yupo tu. Utaongoza watu vipi hujui kuongea, hujui kuwakilisha hoja. Si ndo nchi itakuwa kituko kwenye anga za kimataifa.
LOWASA NI BOYA TU kulinganisha na nafasi ya URAIS. Kama Urais ungekuwa Sura na utanashati angefaa lakini kwa kuwa ni KICHWA, UZALENDO, UMAKINI, UADILIFU na UELEWA, ANAPWAYA NA HAFAI.
 
Hapa anasoma huo Ushuzi wako! Maamuzi magumu yanahitajika na Mh Lowasa anaweza tukimpa nafasi!
1907513_966068363427614_4736803703485890492_n.png
 
Mambo ni mengi lakini hebu tuangalie haya kwa uchache wake:

1. Alituhumiwa na Nyerere kuwa utajiri wake una utata, haiji kichwani eti Nyerere hakuwa informed sawa sawa

2. Ndiye alikuwa Shwaiba wa JK, JK alichotufanyia watz, hata watoto wanajua HAIKUBALIKI

3. Alipatwa kashfa ya ufisadi na wizi wa mali za umma kwa mikataba mibovu, ukiiba uko waziri mkuu utaacha ukiwa RAIS?

4. Afya yake as we write sio nzuri

5. Ni Mbunge ambaye kwa kipindi cha miaka 8 hajawahi kuchangia bungeni hoja yoyote, maana yake ni nikilaza sana, maana huwezi sema hakuna matatizo kwa namna yoyote ile Tanzania ambayo yanamgusa au hata jimboni kwake tu. Bubu ataongoza nchi??

6. Wakati anajihuzuru alisema anafanya hivyo kwa maslahi ya CCM na Serikali, hakika ndo maana amekaaa kimya kusema ukweli wote maana hakufanya kwa maslahi ya wananchi, leo wananchi wampigie kura tapeli wa kisiasa huyu??? wananchi wa wapi TZ hii ambayo maisha magumu kila siku? HAIWEZEKANI

Ushauri ili kutimiza ndoto yake, aanzishe benki/chuo ili awe rais wa benki/chuo

Naomba kuwasilisha
3. Bora tuwe na raisi fisadi ambaye ametuibia na amewekeza nchini mwake kuliko kuwa na mafisadi waliotuibia na wamewekeza nnje!

4. Hata huyu tuliye naye wakati anagombea tuliambiwa ni mgonjwa!
 
Hakuna cha maana hulicho andika. Tafuta sababu nyingine na sio huo ujinga ulio andika.
 
mambo ni mengi lakini hebu tuangalie haya kwa uchache wake:

1. Alituhumiwa na nyerere kuwa utajiri wake una utata, haiji kichwani eti nyerere hakuwa informed sawa sawa

2. Ndiye alikuwa shwaiba wa jk, jk alichotufanyia watz, hata watoto wanajua haikubaliki

3. Alipatwa kashfa ya ufisadi na wizi wa mali za umma kwa mikataba mibovu, ukiiba uko waziri mkuu utaacha ukiwa rais?

4. Afya yake as we write sio nzuri

5. Ni mbunge ambaye kwa kipindi cha miaka 8 hajawahi kuchangia bungeni hoja yoyote, maana yake ni nikilaza sana, maana huwezi sema hakuna matatizo kwa namna yoyote ile tanzania ambayo yanamgusa au hata jimboni kwake tu. Bubu ataongoza nchi??

6. Wakati anajihuzuru alisema anafanya hivyo kwa maslahi ya ccm na serikali, hakika ndo maana amekaaa kimya kusema ukweli wote maana hakufanya kwa maslahi ya wananchi, leo wananchi wampigie kura tapeli wa kisiasa huyu??? Wananchi wa wapi tz hii ambayo maisha magumu kila siku? Haiwezekani

ushauri ili kutimiza ndoto yake, aanzishe benki/chuo ili awe rais wa benki/chuo

naomba kuwasilisha

kivipi????
Kama mpiga kura ni wewe peke yako then uko sahihi kabisa,but kama wapiga kura watakuwa wengi then imekula kwako
 
Mambo ni mengi lakini hebu tuangalie haya kwa uchache wake:

1. Alituhumiwa na Nyerere kuwa utajiri wake una utata, haiji kichwani eti Nyerere hakuwa informed sawa sawa

2. Ndiye alikuwa Shwaiba wa JK, JK alichotufanyia watz, hata watoto wanajua HAIKUBALIKI

3. Alipatwa kashfa ya ufisadi na wizi wa mali za umma kwa mikataba mibovu, ukiiba uko waziri mkuu utaacha ukiwa RAIS?

4. Afya yake as we write sio nzuri

5. Ni Mbunge ambaye kwa kipindi cha miaka 8 hajawahi kuchangia bungeni hoja yoyote, maana yake ni nikilaza sana, maana huwezi sema hakuna matatizo kwa namna yoyote ile Tanzania ambayo yanamgusa au hata jimboni kwake tu. Bubu ataongoza nchi??

6. Wakati anajihuzuru alisema anafanya hivyo kwa maslahi ya CCM na Serikali, hakika ndo maana amekaaa kimya kusema ukweli wote maana hakufanya kwa maslahi ya wananchi, leo wananchi wampigie kura tapeli wa kisiasa huyu??? wananchi wa wapi TZ hii ambayo maisha magumu kila siku? HAIWEZEKANI

Ushauri ili kutimiza ndoto yake, aanzishe benki/chuo ili awe rais wa benki/chuo

Naomba kuwasilisha
Wewe ni kichaa Nyerere Mungu?aliwapa mkapa kaitenda nini nchi?acha kuwa kondom Lowassa atosha
 
3. Bora tuwe na raisi fisadi ambaye ametuibia na amewekeza nchini mwake kuliko kuwa na mafisadi waliotuibia na wamewekeza nnje!

4. Hata huyu tuliye naye wakati anagombea tuliambiwa ni mgonjwa!

Afadhali huyu yeye katibiwa, sawa EL matibabu sijui kama yapo, angekuwa ameshakwenda
 
Back
Top Bottom