Kwa lipi Lowassa apewe nchi?

Kwa lipi Lowassa apewe nchi?

Maamuzi ya kuanzisha shule za kata zisizokuwa na uwezo wa kutoa elimu?

Maamuzi endelevu ya kwenda kutafuta mvua ya kutengeneza?

Maamuzi ya kwenda Niuzilendi ku eti kujifunza kilimo cha vitunguu?

Maamuzi ya kushiriki mikataba ya richmond ya kitapeli huku akijua eti kwa sababu hata kikwete alifahamu?

Analipi la kutuambia huyu Watanzania huyu mtu?

Hatutaki. Unafiki mtupu
Tunakumbushana tu!
 
Yani hata mfanyeje mi napenda kuwaambia kuwa bila sisi kuomba sana kwa mwenyezi Mungu basi Tanzania itakuwa chini ya freemason na hii ni kweli we ona watu wanavyomkubali lowassa yani tumeshaingiwa na pepo mbaya sasa

Ni kwamba hawaruhusiwi kutajana hawa Freemasons lakini soma hapa utaelewa kwa nini Lowassa anapewa sapoti kubwa na wafanyabiashara wakubwa na watu ktk nafasi nyeti

http://freemasonstanzania.blogspot.com/2014/12/members-of-freemason-in-tanzania.html?m=1

Hii ni blogspot yao halali.
 
Tunakumbushana tu!


Umekumbusha jambo jema. Na ndiyo maana tunasema, hatumchagui kwa sababu ni kiongozi bora. Bali yeye ni mmoja wa walioua taifa pamoja na ccm yenu kutengeneza taifa la majuha mengi yasiyojitambua. Hao majuha ambao ni wafuasi wa ccm wakiwemo na wa lowasa, ni Watanzania wanahitaji kubadilishwa ili wafae kwa maendeleo ya taifa na waishi kama watu na si kama ilivyosasakwamba ni ndondocha wa ccm.

Kwa mantiki hiyo, Lowasa na kundi lake, wanaumuhimu mkubwa kwenyekuliua ccm lililofanya nchi namna hii. KIsha chini ya UKaWA, mifumo yenye akili, nia bora na utendaji makini, tunakwenda kujenga nchi mpya kwa pamoja. UKAWA si ccm ambapo raisi anaamka tu analeta masuala ya faimlia yake na maswahiba, na kuyaingiza serikalini na mafuasi yake yaliyofanywa misukule, hayana hata sababu yakuhoji. Yanauawa huku yakipiga makofi.

Sasa Lowasa anakwenda kuwa chini ya UKAWA ili kwa mfumo sahihi alibomoe zimwi na kwa pamoja tuwakomboe misukule wa ccm ili tujenge nchi.

Hope umeelewa.
 
Sababu zinazokufanya umnyime kura makufuli ndio sababu zinazokufanya uumpe kura Lowassa.
 
Kwan magufuri hizo barabara anajenga kwa pesa zake, mbona watu mnakomaa na CCM wamewapa nn 50 yrs bado nchi inatatizo la Hospital,maji,umeme,elimu na wakati raslimal zipo nyingi tu, Bora huyo huyo Lowasa aingie chin ya UKAWA lengo letu ni kuing'oa CCM that's only
 
kwa lipi la maana alilolifanya lowassa hadi apewe nchi?

Kuna sababu nyingi za kusema lowassa hafai kuwa rais wa nchi hii licha ya kuwa mgonjwa wa macho na mgongo pia ni mmoja wa watu 11 waliotajwa kuwa ni mafisadi.

Amefanya nini la maana hadi tumpe nchi? Unamkumbuka kwa lipi zaidi ya kujiuzulu?

Pesa zake sio tiketi kuwepo ulazima wa kuingia ikulu. Kama anatafuta umaarufu,umaarufu sio kwa mazuri tu hata ufisadi na kujiuzulu napo aljulikana ndani na nje ya nchi.

Anaitwa mtu wa maamuzi magumu,maamuzi yapi? Kujiuzulu ni uwajibikaji sio maamuzi magumu. Maamuzi magumu yapi? Alikuwa anafukuza watumishi wa serikali majukwaani bila hata kuwapa nafasi ya kijitetea(natural justice).

Kama sio kuwaonea ni nini? Yeye alikuwa analalamika ooh mh spika,nimeonewa sana,nimesikitika sana hata sijaulizwa juu ya richmond sijapewa hata nafasi ya kujitetea(natural justice),amesahau kuwa usihukumu usije ukahukumiwa(mathayo 7:1)

wanasema alijenga shule za kata,je,alitumia pesa yake badala ya kodi za watz? Walitaka afanye nn wakati ulikuwa wajibu wake kama mtendaji mkuu wa shughuli za serikali za kila kitu?

Sababu zipi za kunishawishi kumpigia kura lowassa awe rais wa awamu ya tano?

aksante sanaa mkuu
 
Back
Top Bottom