hazole1
JF-Expert Member
- Jan 3, 2015
- 4,319
- 3,919
huyu mtu ni mtu wa kawaida tu kwanza mm namuona hana historia yoyote zaidi ya wizi na ukimuona mtu anamshabikia huyu mtu ujue na yeye ni mwizi au ni tapeli sana cha maajabu huyu mtu ndio anataka kuja kuwa rais kwa misingi ipi na atatusaidia nini wakati hajawahi hata kupata shida hajawahi hata kulala na njaa yule ni mtu ambaye amekulia kimayai alafu leo anataka awe rais kiraisi raisi tu kwanza mtu mwenyewe yule mgonjwa isije ikwa kama zambia raisi anakaa mwaka 1 harafu anakufa watanzania makosa ambayo walifanya wazee wetu sisi haitakiwi tuyarudie