nzalendo
JF-Expert Member
- May 26, 2009
- 12,682
- 14,067
Labda NEC wasimpitisheNdiye rais wa awamu ya 5.
lakini kwanini wasimpitishe
wakati nyama choma walikula monduli?
Labda NEC wasimpitisheNdiye rais wa awamu ya 5.
Raisi wa wachawi anafaa.weweee hizi nci zetu hazina demokrasia
atakuwa raisi tu
ingawa inauma
ofcoz utawala una mambo mengi.raisi wa wachawi anafaa.
ofcoz utawala una mambo mengi.
Angalia raisi anapoapishwa pale uwanja wa taifa.
Unajua maana ya kile kigoda wewe.
Unajua nchi hii ina maagano ya aina gani?
Rejea hotuba za mwl.nyerere hasa yaliyofanyika bagamoyo.
Na si hapa tz tu.
Ni kwa mataifa yote ya kiafrika.
Mbali na hayo uongozi hutauweza ktk
nchi hizi labda uende huko kwa akina obama.
nimeshtushwa na wazee wa sebule kuu.
Ni mchana huu baada ya kuhudhuria lunch ''majris''.
Namnukuu mmoja wao.
''safari hii ni zamu ya wakristu.akafinyanga tonge....
Na katika wakristu lowasa tunamkubali.......akameza.......
Maana ameshatuweka sawa.''kimya.......
Nilisikia kizunguzungu na biriani yoote ikayeyuka.
Nikajikausha, kama sijasikia..........
Huyoo nikaosha mikono nikasepa.
weweee hizi nci zetu hazina demokrasia
atakuwa raisi tu
ingawa inauma
tamasenga sio sebuleni lakini wanamkubalilowasa atakuwa rais wa subuleni kwenu sio huku .
tamasenga sio sebuleni lakini wanamkubali
utwango pia
pamoja na
mbamba bay
mpaka mpingi
likuyu
mpaka
kidia
oumurushaka
hata
tinde
bumbuli
mpaka
dabaga
mkuu hii nchi kama huijui utasumbuka sana na kupoteza muda
tafuta ugali
ukae kimya.
labudawewe acha kuwaandikia watu wewe sema mimi na mke wangu na watoto tunamkubali hizi tafiti za kwenye vilabu vya mataputapu siku hizi zinawatoa sana ufahamu.
Udini utaliangamiza taifa lowasa jitahidi kuwapa somo waenezao udini