Abdalla mpemba
JF-Expert Member
- Dec 31, 2016
- 657
- 908
YEHODAYA, Cuf mulisema ni chama cha waislam sasa Act ni chama chanini maana mulivo wajinga wa propagsnda
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
View attachment 1352047
Bado haijafahamika walichoteta , lakini kuna dalili ya kishindo kikubwa kuikumba Tanzania .
Endeleeni kubaki hapa hapa Jf
yaani nyumbani kwa Mshauri ni uchochoroni? basi kazi ipo kwenye tafsiri!Issue aongee naye wapi uchochoroni Ni hatari
Kuna stage za kupandikiza ugonjwa hatua ya kwanza ni kuintroduce wagonjwa wachache let's say wanne au kumi mkijiroga mkatangaza kuwa nchini mwenu wamegundulika watu wenye ugonjwa husika kesho yake ndio wamafungulia kabisa bombaHomeboy umeandika kama mlevi,hivi sisi kweli ni taifa ambalo Marekani au taifa lolote lililoendelea likitaka kutupandikizia ugonjwa watashindwa?
Ukumbuke unaishi katika nchi ambayo raia mpaka karne hii wanafundishwa umuhimu wa kunawa mikono kwa sabuni,wajenge vyoo,wasinye vichakani na watahiriwe na semina zinatolewa kwa msaada wa hao hao,dawa wanatusaidia hao hao hahahah
Sasa huyo anaweza kufukuzwa nchini na mkabaki midomi waziMsipangie,msidhani huyo ni wakina mnyika mnao wapangia pakufanyia mikutano yao.
dodge
Hebu mfukuzeni fasta fasta tuone kweli nyie mnamuweza beberu.Sasa huyo anaweza kufukuzwa nchini na mkabaki midomi wazi
God save us