Marwa_J_Merengo
JF-Expert Member
- Aug 6, 2018
- 4,512
- 6,856
Tutegemee vikwazo zaidi kutika kwa mabeberu hasa baada ya mpango wao wa kutupàndikizia ebola kugonga mwamba
Wanasema hivi , anayecheka mwisho ndio anacheka vizuri
Wapigaji sijui kama wanakumbuka hata kuvaa kinga, maana huu mtungo safari hii ni waki "AMATURE".
Mguseni muone
Jr
Usitutakie shida mkuu..Pompeo unamjua unamsikia??
Nyie ndio mnaopanga kwa kukutania?hakuna kichochoro hatari zaidi ya ccmIssue aongee naye wapi uchochoroni Ni hatari
You made my day 😂😂😂😂Mguseni muone
Jr
Ngoja watunyooshe.. Haiwezekani tanzanhpa kuogozwa na Akili ya mtu Mmoja Kila kitu yeye anajua.. Ubabe,maneno ya kejeri.dharau.hana busara wala hekima na mpenda sifaTutegemee vikwazo zaidi kutika kwa mabeberu hasa baada ya mpango wao wa kutupàndikizia ebola kugonga mwamba