Kwa kiwango cha Upumbavu kilichopo kwa wana CCM sasa, ni lazima litokee jambo zito dhidi yao kuwafanya Wajifunze maana ya Utawala Bora.

Kwa kiwango cha Upumbavu kilichopo kwa wana CCM sasa, ni lazima litokee jambo zito dhidi yao kuwafanya Wajifunze maana ya Utawala Bora.

Lord Denning

JF-Expert Member
Joined
Jun 3, 2015
Posts
23,494
Reaction score
57,869
Nimetoka kuangalia video fupi ya ugomvi baina ya Mbunge Msukuma na Mtu aliyeelezewa kama Muwekezaji.

Katika video ile ukimsikiliza kwa makini msukuma na yale mazungumzo yake na yule anayeitwa muwekezaji utaelewa mambo yafuatayo;

1. Msukuma anaamini yeye ni sehemu ya Serikali na Serikali ndo Alpha na Omega. Haelewi maana halisi ya nafasi yake kama mbunge na majukumu yake kama mbunge.

2. Msukuma na muwekezaji wana amini, CCM ni Serikali. Wana amini ccm ni zaidi pia ya Serikali. Wana amini ccm iko juu ya Sheria za nchi hii zaidi ya Katiba pia. Ndo mana muwekezaji anamuambia Msukuma nenda kahoji kwenye chama.

3. Msukuma na muwekezaji wana amini ili uishi kwa utulivu na amani nchi hii haupaswi kuwa nje ya ccm. Wanaona ukiwa nje ya Ccm ndo unastahili kufanyiwa mabaya ya namna yeyote ile na kunyimwa haki zako. Wana amini ukiwa ndani ya ccm unaweza fanya lolote lile na kinga yako ni kuwa mwana ccm. Ndo mana wanasikika wakiitaja Chadema kwenye mazungumzo yao kumaanisha kama mtu yupo Chadema ndo kama anastahili kutendewa ndivyo sivyo.

Ukisikiliza ile clip kama una akili timamu hautashangazwa tu na mbunge kupigana na mwananchi. Utasikitika na kuumia sana namna CCM walivyonajisi upeo wa kufikiri wa Wananchi kiasi kwamba wananchi hawaelewi tena Msingi Mkuu wa Katiba yetu wa Utawala Bora na kuitambua Nchi yetu kama Nchi ya Kidemokrasia inayofuata mfumo wa vyama vingi.

Ukisikiliza ile video fupi kama una akili timamu utakubaliana na mimi kuwa kwa vyovyote vile ni lazima Nchi hii ifanyiwe factory settings na kuundwa upya ili kuhakikisha upumbavu unaondoka kuwa sehemu ya maisha ya Wananchi.

Mwisho, pamoja na haya yote, tusisahau kuwa jambo pekee linaloweza kutuondoa kwenye huu upumbavu wa ki ccm ni kutokewa na jambo baya kwa Viongozi na Uongozi wa CCM hadi kuwafanya warudi kwenye misingi ya utawala bora na kuheshimu kweli matakwa ya wananchi. Tusisahau kuliombea vilivyo na kulipush kwa nguvu zote suala la ICC maana hili ndo jambo pekee kwa sasa linaloweza kuwatia adabu na kuwarudisha kwenye mstari wa kuwaheshimu wananchi hawa wapumbavu CCM.
 
Nimetoka kuangalia video fupi ya ugomvi baina ya Mbunge Msukuma na Mtu aliyeelezewa kama Muwekezaji.

Katika video ile ukimsikiliza kwa making msukuma na yale mazungumzo yake na yule anayeitwa muwekezaji utaelewa mambo yafuatayo;

1. Msukuma anaamini yeye ni sehemu ya Serikali na Serikali ndo Alpha na Omega. Haelewi maana halisi ya nafasi yake kama mbunge na majukumu yake kama mbunge.

2. Msukuma na muwekezaji wana amini, CCM ni Serikali. Wana amini ccm ni zaidi pia Serikali. Wana amini ccm iko juu ya Sheria za nchi hii zaidi ya Katiba pia. Ndo mana muwekezaji anamuambia Msukuma nenda kahoji kwenye chama.

3. Msukuma na muwekezaji wana amini ili uishi kwa utulivu na amani nchi hii haupaswi kuwa nje ya ccm. Wanaona ukiwa nje ya Ccm ndo unastahili kufanyiwa mabaya ya namna yeyote ile na kunyimwa haki zako. Wana amini ukiwa ndani ya ccm unaweza fanya lolote lile na kinda yako ni kuwa mwana ccm.

Ukisikiliza ile clip kama una akili timamu hautashangazwa tu na mbunge kupigana na mwananchi. Utasikitika na kuumia sana namna CCM walivyonajisi upeo wackufikiri wa Wananchi kiasi kwamba wananchi hawaelewi tena Msingi Mkuu wa Katiba yetu wa Utawala Bora na kuitambua Nchi yetu kama Nchi ya Kidemokrasia inayofuata mfumo wa vyama vingi.

Ukisikiliza ile video fupi kama una akili timamu utakubaliana na mimi kuwa kwa vyovyote vile ni lazima Nchi hii ifanyiwe factory settings na kuundwa upya ili kuhakikisha upumbavu unaondoka kuwa sehemu ya maisha ya Wananchi.

Mwisho, pamoja na haya yote, tusisahau kuwa jambo pekee linaloweza kutuondoa kwenye huu upumbavu wa ki ccm ni kutokewa na jambo baya kwa Viongozi na Uongozi wa CCM hadi kuwafanya warudi kwenye misingi ya utawala bora na kuheshimu kweli matakwa ya wananchi. Tusisahau kuliombea vilivyo na kulipush kwa nguvu zote suala la ICC maana hili ndo jambo pekee kwa sasa linaloweza kuwatia adabu na kuwarudisha kwenye mstari wa kuwaheshimu wananchi hawa wapumbavu CCM.
Mda ni Mwalimu mzuri..si.unaona mpaka samia yuko mentally paralysed
 
Sorry, nilivyoelewa ni kwamba Msukuma ni mbunge na mbunge huwa ni sehemu ya kamati ya maendeleo ya Halmashauri ya wilaya ambayo ni sehemu ya serikali.
 
Bahati mbaya sn nawaona kama kupe,mbwa anakufa mpk anaoza kupe bado kakomaa mpk anafiamo, ndo maccm chama kilishajfia sku nyng sn saivi policcm, tissccm, jwccm ndo wanaofanya siasa za ccm ila washabiki wao na wachama hata hawana hbr kwmb ccm ilishakuwa mzoga..
 
Sorry, nilivyoelewa ni kwamba Msukuma ni mbunge na mbunge huwa ni sehemu ya kamati ya maendeleo ya Halmashauri ya wilaya ambayo ni sehemu ya serikali.
Kamati ya Maendeleo ina jukumu ya kukamata? Unajua hata majukumu ya kamati za Maendeleo? Mbunge kama sehemu ya Kamati ya Maendeleo ana jukumu la kukamata mtu?

Kazi yake ni kulumbana na watu? Kazi yake ni kugombana na watu?

Mbunge kama mwakilishi wa Wananchi ana jukumu moja tu, kuchukua concerns za wananchi na kuziwasilisha kwa mamlaka husika. Kama ni mgogoro wa ardhi kazi yake ni kuuchukua na kuuwasilisha kwa Mamlaka za Ardhi ambapo zitafanya uchunguzi na kufanya maamuzi.

Kama haziamini mamlaka za Ardhi anapaswa kufuata utaratibu wa kimahakama. Kama huo pia hauwezi akapambane na Waziri wa Sekta husika bungeni na apeleke hoja rasmi kutaka hilo suala lijadiliwe kibunge na kutolewa ufafanuzi ikiwemo uwajibishaji wa wahusika.

Kwenye mazungumzo yao, Msukuma anajiona yeye ni Serikali , yeye ndo muamuzi wa mwisho na yeye ndo chama. Wanazungumzia kuhusu chama ili iweje? Anazungumzia ukamataji ili iweje? Yeye kama nani?
 
Kwa taarifa tu
Huyo Msukuma akiwa Diwani na Mwenyekiti wa Halmashauri ya Geita Vijijini nadhani 2005--2010,alishavuliwaga huo uenyekiti kwa tuhuma ya changamoto ya Afya ya Akili,akabaki na Udiwani tu..

Kikao kilisimamiwa na aliyekuwa RC wa Mwanza( then Geita ni sehemu ya Mwanza) late Abbas Kandoro
 
Kwa taarifa tu
Huyo Msukuma akiwa Diwani na Mwenyekiti wa Halmashauri ya Geita Vijijini nadhani 2005--2010,alishavuliwaga huo uenyekiti kwa tuhuma ya changamoto ya Afya ya Akili,akabaki na Udiwani tu..

Kikao kilisimamiwa na aliyekuwa RC wa Mwanza( then Geita ni sehemu ya Mwanza) late Abbas Kandoro
Huyu ni kielelezo cha wana ccm wengi. Hawana akili.
 
Tuna safari ndefu sana. Neno moja tuu ni kwamba taifa letu linahita factory setting. Yaani utawala wa sheria umekuwa option.
 
Hao wangeachiwa wazichape tu mpaka mmoja aombe pooo 😄
Ila kwa jinsi msukuma alivyosukumwa sjui kama angeweza himili round 2

Ova
 
Yaani wale wajinga kwenye hiyo video wameonesha jinsi gani maccm yanavyopenda kutumia mabavu kwenye kila jambo yakitegemea kinga ya uanachama na vyeo.

Yule ni mbunge tu ila ana kiburi cha kumnasa mtu kitasa, sasa waliopo huko juu watakuwaje... fikiri mtu kama Mchengerwa atakuwa na kiburi gani?

Hii nchi inahitaji total overhauling haraka iwezekanavyo.
 
Yaani wale wajinga kwenye hiyo video wameonesha jinsi gani maccm yanavyopenda kutumia mabavu kwenye kila jambo yakitegemea kinga ya uanachama na vyeo.

Yule ni mbunge tu ila ana kiburi cha kumnasa mtu kitasa, sasa waliopo huko juu watakuwaje... fikiri mtu kama Mchengerwa atakuwa na kiburi gani?

Hii nchi inahitaji total overhauling haraka iwezekanavyo.
Na take it from me. The only opportunity tuliyopewa na Mungu ili tufanikiwe kufanya hii overhauling ni kuhakikisha huyu Samia na washirika wake wanafikishwa ICC mwaka huu kwa ushenzi waliofanya kwenye ule uchaguzi Oktoba 2025.

Hili ndo jambo pekee litakalowapa hofu hawa washenzi na kuanza kutumia akili na kutuheshimu Wananchi.
 
Sikuelewa kwa nini CHADEMA ilitajwa kwenye mazungumzo yao.
Inaonekana CCM wanajiona wao ni kama miungu sheria za nchi haziwahusu
 
Sikuelewa kwa nini CHADEMA ilitajwa kwenye mazungumzo yao.
Inaonekana CCM wanajiona wao ni kama miungu sheria za nchi haziwahusu
Hilo tu linapaswa kukupa picha halisi ni kwa namna gani nchi hii na Taifa hili sasa linaongozwa na wapumbavu
 
Nimetoka kuangalia video fupi ya ugomvi baina ya Mbunge Msukuma na Mtu aliyeelezewa kama Muwekezaji.

Katika video ile ukimsikiliza kwa makini msukuma na yale mazungumzo yake na yule anayeitwa muwekezaji utaelewa mambo yafuatayo;

1. Msukuma anaamini yeye ni sehemu ya Serikali na Serikali ndo Alpha na Omega. Haelewi maana halisi ya nafasi yake kama mbunge na majukumu yake kama mbunge.

2. Msukuma na muwekezaji wana amini, CCM ni Serikali. Wana amini ccm ni zaidi pia ya Serikali. Wana amini ccm iko juu ya Sheria za nchi hii zaidi ya Katiba pia. Ndo mana muwekezaji anamuambia Msukuma nenda kahoji kwenye chama.

3. Msukuma na muwekezaji wana amini ili uishi kwa utulivu na amani nchi hii haupaswi kuwa nje ya ccm. Wanaona ukiwa nje ya Ccm ndo unastahili kufanyiwa mabaya ya namna yeyote ile na kunyimwa haki zako. Wana amini ukiwa ndani ya ccm unaweza fanya lolote lile na kinga yako ni kuwa mwana ccm. Ndo mana wanasikika wakiitaja Chadema kwenye mazungumzo yao kumaanisha kama mtu yupo Chadema ndo kama anastahili kutendewa ndivyo sivyo.

Ukisikiliza ile clip kama una akili timamu hautashangazwa tu na mbunge kupigana na mwananchi. Utasikitika na kuumia sana namna CCM walivyonajisi upeo wackufikiri wa Wananchi kiasi kwamba wananchi hawaelewi tena Msingi Mkuu wa Katiba yetu wa Utawala Bora na kuitambua Nchi yetu kama Nchi ya Kidemokrasia inayofuata mfumo wa vyama vingi.

Ukisikiliza ile video fupi kama una akili timamu utakubaliana na mimi kuwa kwa vyovyote vile ni lazima Nchi hii ifanyiwe factory settings na kuundwa upya ili kuhakikisha upumbavu unaondoka kuwa sehemu ya maisha ya Wananchi.

Mwisho, pamoja na haya yote, tusisahau kuwa jambo pekee linaloweza kutuondoa kwenye huu upumbavu wa ki ccm ni kutokewa na jambo baya kwa Viongozi na Uongozi wa CCM hadi kuwafanya warudi kwenye misingi ya utawala bora na kuheshimu kweli matakwa ya wananchi. Tusisahau kuliombea vilivyo na kulipush kwa nguvu zote suala la ICC maana hili ndo jambo pekee kwa sasa linaloweza kuwatia adabu na kuwarudisha kwenye mstari wa kuwaheshimu wananchi hawa wapumbavu CCM.
Hiyo ndiyo ile maana ya ccm ya kujua kusoma na kuandika inatosha.
 
Sorry, nilivyoelewa ni kwamba Msukuma ni mbunge na mbunge huwa ni sehemu ya kamati ya maendeleo ya Halmashauri ya wilaya ambayo ni sehemu ya serikali.
Mbunge aliyechaguliwa na nani? Nani kampigia kura? Ukishakuwa huna Uhalali utaishia kudharauliwa na kila kiumbe aliye hai (including sisimizi).
 
Hao wangeachiwa wazichape tu mpaka mmoja aombe pooo 😄
Ila kwa jinsi msukuma alivyosukumwa sjui kama angeweza himili round 2

Ova
Cha kusikitisha akili ya huyo msukuma na huyo mwekezaji ndo zimejaa huko CCM.
 
Nimetoka kuangalia video fupi ya ugomvi baina ya Mbunge Msukuma na Mtu aliyeelezewa kama Muwekezaji.

Katika video ile ukimsikiliza kwa makini msukuma na yale mazungumzo yake na yule anayeitwa muwekezaji utaelewa mambo yafuatayo;

1. Msukuma anaamini yeye ni sehemu ya Serikali na Serikali ndo Alpha na Omega. Haelewi maana halisi ya nafasi yake kama mbunge na majukumu yake kama mbunge.

2. Msukuma na muwekezaji wana amini, CCM ni Serikali. Wana amini ccm ni zaidi pia ya Serikali. Wana amini ccm iko juu ya Sheria za nchi hii zaidi ya Katiba pia. Ndo mana muwekezaji anamuambia Msukuma nenda kahoji kwenye chama.

3. Msukuma na muwekezaji wana amini ili uishi kwa utulivu na amani nchi hii haupaswi kuwa nje ya ccm. Wanaona ukiwa nje ya Ccm ndo unastahili kufanyiwa mabaya ya namna yeyote ile na kunyimwa haki zako. Wana amini ukiwa ndani ya ccm unaweza fanya lolote lile na kinga yako ni kuwa mwana ccm. Ndo mana wanasikika wakiitaja Chadema kwenye mazungumzo yao kumaanisha kama mtu yupo Chadema ndo kama anastahili kutendewa ndivyo sivyo.

Ukisikiliza ile clip kama una akili timamu hautashangazwa tu na mbunge kupigana na mwananchi. Utasikitika na kuumia sana namna CCM walivyonajisi upeo wackufikiri wa Wananchi kiasi kwamba wananchi hawaelewi tena Msingi Mkuu wa Katiba yetu wa Utawala Bora na kuitambua Nchi yetu kama Nchi ya Kidemokrasia inayofuata mfumo wa vyama vingi.

Ukisikiliza ile video fupi kama una akili timamu utakubaliana na mimi kuwa kwa vyovyote vile ni lazima Nchi hii ifanyiwe factory settings na kuundwa upya ili kuhakikisha upumbavu unaondoka kuwa sehemu ya maisha ya Wananchi.

Mwisho, pamoja na haya yote, tusisahau kuwa jambo pekee linaloweza kutuondoa kwenye huu upumbavu wa ki ccm ni kutokewa na jambo baya kwa Viongozi na Uongozi wa CCM hadi kuwafanya warudi kwenye misingi ya utawala bora na kuheshimu kweli matakwa ya wananchi. Tusisahau kuliombea vilivyo na kulipush kwa nguvu zote suala la ICC maana hili ndo jambo pekee kwa sasa linaloweza kuwatia adabu na kuwarudisha kwenye mstari wa kuwaheshimu wananchi hawa wapumbavu CCM.
Jambo pekee la maana kufanya ni kuunda jeshi la waasi litakalo ua vionhozi wa ccm. ICC haitosaidia chochote. Wazungu wakipewa dhahabu na almasi wanapiga chini kesi.
 
Back
Top Bottom