Beatrice Kamugisha
JF-Expert Member
- May 18, 2019
- 762
- 6,980
Hii nchi wote sisi ni wafungwa au mahabusu watarajiwa, tusipojiandaa kuishi vyema mahabusu tukadhani tupo salama tutaingizwa huko na patakua si sehemu salama kiafya na kimalazi kukaa.
Nchi za wenzetu wameboresha Magereza maana wanajua upo uwezekano bila hatia ukahama nyumbani kwako na kwenda kuishi gerezani kwa sababu tu mtawala ameamua iwe hivyo.
Tujenge Magereza ndugu zangu.
Nchi za wenzetu wameboresha Magereza maana wanajua upo uwezekano bila hatia ukahama nyumbani kwako na kwenda kuishi gerezani kwa sababu tu mtawala ameamua iwe hivyo.
Tujenge Magereza ndugu zangu.