Kwa kinachoendelea Mahakamani kwenye kesi ya Mbowe, imedhihirika CHADEMA walikuwa sahihi kutokwenda Mahakamani baada ya uchaguzi Mkuu wa 2020

Tindo

JF-Expert Member
Sep 28, 2011
59,009
103,394
Kuna watu wengi waliituhumu CHADEMA kwa kutokwenda mahakamani baada ya kuporwa uchaguzi Mkuu wa 2020. Cdm walisema baadhi ya taasisi za umma zilizoingiziwa uozo wa siasa chafu za ccm, ni pamoja na mahakama.

Kwa sasa kwenye kesi hii ya Mbowe ushahidi unazidi kukaa wazi, na bado kesi haijafika mwisho, lakini tayari majaji wawili wameshatoka, na huyu wa sasa amejaa maamuzi ya utata, na sidhani kama atafika mwisho wa kesi.

Kubwa kuliko yote ni mahakama kutumika kuvujisha nyaraka kwa mashahidi wa jamuhuri kinyume kabisa cha sheria, na utawala wa mahakama uko kimya kuhusu hilo! Iwapo mahakamani ndio sehemu tunaambiwa ni ya kupatia haki, na inatakiwa tuiamini kuwa itatenda haki, wanashirikiana na watu waliobambikizia kesi, ni taasisi ipi tena ya umma inaweza kuaminika?

Kwa hapa tulipofikia ni kwa jinsi gani tunaweza kukwepa katiba mpya, wakati hadi mahakama imekubali kutumikia siasa chafu za CCM?
 
IMG_20211111_115151.jpg
 
Tumeshawazoea nyinyi nyumbu! Alipofungwa Sabaya mkasema Mahakama imetenda haki ila kwa huyu Gaidi mkubwa mnabwabwaja tuuu. Tulie dawa iwaingie sawasawa ili mpone ugonjwa wenu wa kinyumbu!!
Tumeshawazoea nyinyi nyumbu! Alipofungwa Sabaya mkasema Mahakama imetenda haki ila kwa huyu Gaidi mkubwa mnabwabwaja tuuu. Tulie dawa iwaingie sawasawa ili mpone ugonjwa wenu wa kinyumbu!!

Mtu mjinga tu ndio anaweza kufananisha kesi ya Mbowe na Sabaya. Sabaya hata asingepelekwa mahakamani na kushitakiwa kama ilivyo Makonda, bado ukatili wa Sabaya chini ya Magufuli ulikuwa bayana sana. Hakuna mtu yoyote mwenye akili timamu anaweza kusema mahakama iko huru, eti kisa wamemfunga Sabaya, bali tunashangaa imepata wapo uthubutu wa kumfunga kiongozi wa ccm aliyefanya unyama na kupata sifa ya kukifanya ccm kishinde kwenye eneo lake la utawala.

Kesi ya Mbowe hata mtoto mdogo anajua ni ya kubumba, na hiki kinachoendelea sasa mahakamani kutoka mashahidi wa upande wa jamuhuri, kinathibitisha hadi mahakama kwa sasa inatumikia siasa chafu za ccm. Hii kesi iendelee hivi hivi ili wananchi wengi zaidi ya hawa wa sasa, wajue ni jinsi gani mahakama imekubali kutumikia siasa chafu za ccm.
 
Mtu mjinga tu ndio anaweza kufananisha kesi ya Mbowe na Sabaya. Sabaya hata asingepelekwa mahakamani na kushitakiwa kama ilivyo Makonda, bado ukatili wa Sabaya chini ya Magufuli ulikuwa bayana sana. Hakuna mtu yoyote mwenye akili timamu anaweza kusema mahakama iko huru, eti kisa wamemfunga Sabaya, bali tunashangaa imepata wapo uthubutu wa kumfunga kiongozi wa ccm aliyefanya unyama na kupata sifa ya kukifanya ccm kishinde kwenye eneo lake la utawala.

Kesi ya Mbowe hata mtoto mdogo anajua ni ya kubumba, na hiki kinachoendelea sasa mahakamani kutoka mashahidi wa upande wa jamuhuri, kinathibitisha hadi mahakama kwa sasa inatumikia siasa chafu za ccm. Hii kesi iendelee hivi hivi ili wananchi wengi zaidi ya hawa wa sasa, wajue ni jinsi gani mahakama imekubali kutumikia siasa chafu za ccm.
Mtoto mdogo yupi anayejua kesi ya Gaidi Mbowe ni ya kubumba mkuu?? Au wewe ndiyo mtoto mdogo!!?
 
Kuna watu wengi waliituhumu cdm kwa kutokwenda mahakamani baada ya kuporwa uchaguzi Mkuu wa 2020. Cdm walisema baadhi ya taasisi za umma zilizoingiziwa uozo wa siasa chafu za ccm, ni pamoja na mahakama. Kwa sasa kwenye kesi hii ya Mbowe ushahidi unazidi kukaa wazi, na bado kesi haijafika mwisho, lakini tayari majaji wawili wameshatoka, na huyu wa sasa amejaa maamuzi ya utata, na sidhani kama atafika mwisho wa kesi.

Kubwa kuliko yote ni mahakama kutumika kuvujisha nyaraka kwa mashahidi wa jamuhuri kinyume kabisa cha sheria, na utawala wa mahakama uko kimya kuhusu hilo! Iwapo mahakamani ndio sehemu tunaambiwa ni ya kupatia haki, na inatakiwa tuiamini kuwa itatenda haki, wanashirikiana na watu waliobambikizia kesi, ni taasisi ipi tena ya umma inaweza kuaminika? Kwa hapa tulipofikia ni kwa jinsi gani tunaweza kukwepa katiba mpya, wakati hadi mahakama imekubali kutumikia siasa chafu za a ccm?
Jiwe aliharibu kila kitu hapa nchini.
 
Mtoto mdogo yupi anayejua kesi ya Gaidi Mbowe ni ya kubumba mkuu?? Au wewe ndiyo mtoto mdogo!!?
Watoto kibao wasiokuwa na utapiamlo wa akili wanajua ukweli huu. Matokeo ya taasisi na mihimili yote ya umma kulazimishwa kutumikia siasa chafu za ccm, ni kutokana na rais ambaye ni mwenyekiti wa ccm, kupitia katiba mbovu inayompa rais nguvu ya kuteua kila kiongozi wa umma, na yeye kuteua mtu anayeweza kumuendesha atakavyo. Hii imepelekea ccm na taasisi zote za umma kuwa na mahusiano ya kihalifu ili kila mmoja amlinde mwenzake, ili wote wabaki kwenye mlo. Matokeo yake ndio haya vyombo ya dola vinapewa amri zisizo halali, na inabidi watekeleze ili viongozi wa hizo taasisi wabaki kwenye nafasi zao ambazo zitawawezesha kubaki na mishahara minono na sehemu ya kulia rushwa.
 
Kuna watu wengi waliituhumu cdm kwa kutokwenda mahakamani baada ya kuporwa uchaguzi Mkuu wa 2020. Cdm walisema baadhi ya taasisi za umma zilizoingiziwa uozo wa siasa chafu za ccm, ni pamoja na mahakama. Kwa sasa kwenye kesi hii ya Mbowe ushahidi unazidi kukaa wazi, na bado kesi haijafika mwisho, lakini tayari majaji wawili wameshatoka, na huyu wa sasa amejaa maamuzi ya utata, na sidhani kama atafika mwisho wa kesi.

Kubwa kuliko yote ni mahakama kutumika kuvujisha nyaraka kwa mashahidi wa jamuhuri kinyume kabisa cha sheria, na utawala wa mahakama uko kimya kuhusu hilo! Iwapo mahakamani ndio sehemu tunaambiwa ni ya kupatia haki, na inatakiwa tuiamini kuwa itatenda haki, wanashirikiana na watu waliobambikizia kesi, ni taasisi ipi tena ya umma inaweza kuaminika? Kwa hapa tulipofikia ni kwa jinsi gani tunaweza kukwepa katiba mpya, wakati hadi mahakama imekubali kutumikia siasa chafu za a ccm?
Kwa taasisi za umma tulizobaki nazo walau unaweza kuiamini by 40% ni hospitali tu. The rest zote kwishneee...
 
Watoto kibao wasiokuwa na utapiamlo wa akili wanajua ukweli huu. Matokeo ya taasisi na mihimili yote ya umma kulazimishwa kutumikia siasa chafu za ccm, ni kutokana na rais ambaye ni mwenyekiti wa ccm, kupitia katiba mbovu inayompa rais nguvu ya kuteua kila kiongozi wa umma, na yeye kuteua mtu anayeweza kumuendesha atakavyo. Hii imepelekea ccm na taasisi zote za umma kuwa na mahusiano ya kihalifu ili kila mmoja amlinde mwenzake, ili wote wabaki kwenye mlo. Matokeo yake ndio haya vyombo ya dola vinapewa amri zisizo halali, na inabidi watekeleze ili viongozi wa hizo taasisi wabaki kwenye nafasi zao ambazo zitawawezesha kubaki na mishahara minono na sehemu ya kulia rushwa.
Mkuu vipi leo kesi ya Gaidi Mbowe imeendeleaje? Unajua leo nilikuwa busy sana na mihangaiko ya maisha sikufuatilia mitandao.
 
Mtu mjinga tu ndio anaweza kufananisha kesi ya Mbowe na Sabaya. Sabaya hata asingepelekwa mahakamani na kushitakiwa kama ilivyo Makonda, bado ukatili wa Sabaya chini ya Magufuli ulikuwa bayana sana. Hakuna mtu yoyote mwenye akili timamu anaweza kusema mahakama iko huru, eti kisa wamemfunga Sabaya, bali tunashangaa imepata wapo uthubutu wa kumfunga kiongozi wa ccm aliyefanya unyama na kupata sifa ya kukifanya ccm kishinde kwenye eneo lake la utawala.

Kesi ya Mbowe hata mtoto mdogo anajua ni ya kubumba, na hiki kinachoendelea sasa mahakamani kutoka mashahidi wa upande wa jamuhuri, kinathibitisha hadi mahakama kwa sasa inatumikia siasa chafu za ccm. Hii kesi iendelee hivi hivi ili wananchi wengi zaidi ya hawa wa sasa, wajue ni jinsi gani mahakama imekubali kutumikia siasa chafu za ccm.
AMEN
 
Kwa taasisi za umma tulizobaki nazo walau unaweza kuiamini by 40% ni hospitali tu. The rest zote kwishneee...

Hii ndio hatari ya chama kukaa madarakani muda mrefu huku kikiwa kimepoteza ushawishi. Kitakachofanya ni kuvuruga mifumo yote ya utawala na sheria ili kiendelee kubaki madarakani bila ridhaa ya umma. Kwa ilipofikia ccm, sioni kama kitakubali kutoka madarakani bila machafuko kutokea. Machafuko au kupinduliwa ndio njia pekee za dhahiri za kuitoa ccm madarakani. Njia ya box la kura ni kupotezeana muda.
 
Kuna watu wengi waliituhumu cdm kwa kutokwenda mahakamani baada ya kuporwa uchaguzi Mkuu wa 2020. Cdm walisema baadhi ya taasisi za umma zilizoingiziwa uozo wa siasa chafu za ccm, ni pamoja na mahakama. Kwa sasa kwenye kesi hii ya Mbowe ushahidi unazidi kukaa wazi, na bado kesi haijafika mwisho, lakini tayari majaji wawili wameshatoka, na huyu wa sasa amejaa maamuzi ya utata, na sidhani kama atafika mwisho wa kesi.

Kubwa kuliko yote ni mahakama kutumika kuvujisha nyaraka kwa mashahidi wa jamuhuri kinyume kabisa cha sheria, na utawala wa mahakama uko kimya kuhusu hilo! Iwapo mahakamani ndio sehemu tunaambiwa ni ya kupatia haki, na inatakiwa tuiamini kuwa itatenda haki, wanashirikiana na watu waliobambikizia kesi, ni taasisi ipi tena ya umma inaweza kuaminika? Kwa hapa tulipofikia ni kwa jinsi gani tunaweza kukwepa katiba mpya, wakati hadi mahakama imekubali kutumikia siasa chafu za a ccm?
Niliweka hii kitu lakini Mtukufu Moderator akaitupilia mbali bila hata kuiruhusu iombe maji ya kunywa

instagram.jpg
 
Back
Top Bottom