Kwa kinachoendelea Mahakamani kwenye kesi ya Mbowe, imedhihirika CHADEMA walikuwa sahihi kutokwenda Mahakamani baada ya uchaguzi Mkuu wa 2020

Twambieni nani aliingia kwenye stoo/masijala ya Mahakama na kuiba ile nyaraka na kuwapelekea washitaki wa Mbowe? Funguo za hicho chumba walipata wapi? Kila mahakama ina mkubwa wake. Awajibike kwa kosa hilo la wizi wa Nyaraka na kuwapelekea polisi wanaomshitaki Mbowe, eti alitaka kumdhuru Sabaya
Sioni mahakama ikiwajibika kwenye hili, maana wao ni sehemu ya huu uchafu wa kuvunjwa kwa sheria za nchi.
 
Sioni mahakama ikiwajibika kwenye hili, maana wao ni sehemu ya huu uchafu wa kuvunjwa kwa sheria za nchi.
Hii hali ikiendelea hivi tutapataje haki? Je, tunaweza kuendelea kuamini kwamba haki inapatikana mahakamani?
 
Hii hali ikiendelea hivi tutapataje haki? Je, tunaweza kuendelea kuamini kwamba haki inapatikana mahakamani?

Hakuna haki kwenye hizo mahakama, maana tayari siasa chafu za ccm zimeshaingizwa huko.
 
Mtu mjinga tu ndio anaweza kufananisha kesi ya Mbowe na Sabaya. Sabaya hata asingepelekwa mahakamani na kushitakiwa kama ilivyo Makonda, bado ukatili wa Sabaya chini ya Magufuli ulikuwa bayana sana. Hakuna mtu yoyote mwenye akili timamu anaweza kusema mahakama iko huru, eti kisa wamemfunga Sabaya, bali tunashangaa imepata wapo uthubutu wa kumfunga kiongozi wa ccm aliyefanya unyama na kupata sifa ya kukifanya ccm kishinde kwenye eneo lake la utawala
Kesi ya Mbowe hata mtoto mdogo anajua ni ya kubumba, na hiki kinachoendelea sasa mahakamani kutoka mashahidi wa upande wa jamuhuri, kinathibitisha hadi mahakama kwa sasa inatumikia siasa chafu za ccm. Hii kesi iendelee hivi hivi ili wananchi wengi zaidi ya hawa wa sasa, wajue ni jinsi gani mahakama imekubali kutumikia siasa chafu za ccm.
Usimwite mjinga Huyo ni mpumbavu kabisa! Kufananisha jambazi na mzalendo namba moja!
 
Mtu mjinga tu ndio anaweza kufananisha kesi ya Mbowe na Sabaya. Sabaya hata asingepelekwa mahakamani na kushitakiwa kama ilivyo Makonda, bado ukatili wa Sabaya chini ya Magufuli ulikuwa bayana sana. Hakuna mtu yoyote mwenye akili timamu anaweza kusema mahakama iko huru, eti kisa wamemfunga Sabaya, bali tunashangaa imepata wapo uthubutu wa kumfunga kiongozi wa ccm aliyefanya unyama na kupata sifa ya kukifanya ccm kishinde kwenye eneo lake la utawala.

Kesi ya Mbowe hata mtoto mdogo anajua ni ya kubumba, na hiki kinachoendelea sasa mahakamani kutoka mashahidi wa upande wa jamuhuri, kinathibitisha hadi mahakama kwa sasa inatumikia siasa chafu za ccm. Hii kesi iendelee hivi hivi ili wananchi wengi zaidi ya hawa wa sasa, wajue ni jinsi gani mahakama imekubali kutumikia siasa chafu za ccm.
How can you use two different premises to argue on the same phenomenon? Logically doesn't add up!
 
How can you use two different premises to argue on the same phenomenon? Logically doesn't add up!

Do you think by using English will stop me from expressing my views? Or you think by using English will add some value in your posts? Or you want to show me your superiority by commenting in English?
 
Back
Top Bottom