wa kupuliza
JF-Expert Member
- Jun 15, 2012
- 15,226
- 37,575
ππ upepo umeshapuliza nyeti za kuku ziko hadharani.Nadhani hukuelewa tunachoongelea. Wakati mwingi siyo lazima uchangie.
Haki gani anayoisimamia; Unaondosha masheikh wa uamsho wa zanzibar lakini wa Tanzania bara wanaachwa ndani. Unafungulia mashitaka watu uliofanya nao kazi ijapokuwa sio moja kwa moja lakini waliokuwa ofisi yako wakiwa wamefanya madudu huwachukulii hatua halafu unajinasibu wewe msafi.....shutuMama kasema sana,anataka HAKI kitu ambacho watu wa awamu ya tano hawawezi
Hakuna anaepambana na MFU,nyie vibaraka wa awamu ya 5 ndio mnaojipambanishaHaki gani anayoisimamia; Unaondosha masheikh wa uamsho wa zanzibar lakini wa Tanzania bara wanaachwa ndani. Unafungulia mashitaka watu uliofanya nao kazi ijapokuwa sio moja kwa moja lakini waliokuwa ofisi yako wakiwa wamefanya madudu huwachukulii hatua halafu unajinasibu wewe msafi.....shutu
Sijawahi kuona mtu mwenye uhai anapambana na mtu ambaye hana pumzi tena ya kuongea, kupumua au kujittetea
Laana ni somo litakalowafundisha watawala wa Tanzania kwa sasa
Upo sahihi mkuu Mama anatakiwa asiwatizame uson hao manyang'au awabadilikie mpk wasiamin macho yao.Mama tumekupa ikulu na majeshi yote, wewe ndio kamanda mkuu aka amir jeshi mkuu wa majeshi yooote....wizara zote ziko chini yako, wewe ndio bosi mtoa amri.....MAMA TUMIA HIVYO VYOMBO KUCHUKUA MAAMUZI NCHI IENDE MBELE....chukua maamuzi makali dhidi ya wapumbavu wote kama kweli una nia ya dhati nchi iende mbele..
Umemjibu kiutu Uzima.Hongera.Huna akili
Yeye mama ni masalia ya nani?
Mbona amewabakiza wengine wasio na nasaba ya Zanzibar kama sio ubaguzi ni nini? Inajulikana aliyehusika kuwaweka ndani ni awamu ya Kikwete na SheinHakuna anaepambana na MFU,nyie vibaraka wa awamu ya 5 ndio mnaojipambanisha
Hao mashehk wa uamsho hawakuwekwa jela na SSH na kila jambo linakidiriwa na MWENYEZIMUNGU mtukufu,kama wale MLIOWAFUNGA miaka 8 iliopita wako huru sasa itashindikana vipi kwa hao wengine kama hawana HATIA?
The monk, asante mkuu kwa point yako mi nimekuelewa sana, ufafanuzi wako umeondoa shaka kwa watu wote makini na wanaohitaji kuelewa Ila kichwa maji hawatoelewa.Bwana wee, hizi lectures tumeshazisikia sana nilikua namjibu huyo niliyemnukuu aliyesema Mama alitakiwa asiwachukue waliokua kwenye awamu iliyopita.
Sasa kama yeye mwenyewe alikua sehem ya hiyo awamu iliyopita na mtoa hoja point yake ni kwamba wote waliokua awamu iliyopita, una muenguaje Mama?
Hapo hoja ilitakiwa iwe Mama aweke wazi nini anataka na apate watu anaona watamsaidia kutimiza anachotaka.
Wewe usiyeweza kuongoza akili yako usilazimishe wote wafikiri kama wewe. Kwa akili Samia anaweza kuisema awamu ya Kikwete?Mbona hajataja awamu, jf irudi kwenye ubora wake
Hata JPM alikuwa akisema hivyoRais amesema " upigaji ulifanyika awamu ya tano lkn jumba bovu inaanushiwa awamu ya sita. Sitakubali".
Kama angekuwa mshiriki mkuuktk uendeshaji wa serikali ya awamu ya tano rais SSH asingekubali hata awamu ya tano idhalilike.
Lkn anaona ni sawa kwakuwa hakuhusika kwa chochote. Alikuwepo kama picha tu. Mambo yote yalikuwa yakiamuliwa na kuendeshwa na JPM pekee. ....one man show.
Mbona una kua mkali? Alie mquote amekosea ni makosa kisheriaWewe usiyeweza kuongoza akili yako usilazimishe wote wafikiri kama wewe. Kwa akili Samia anaweza kuisema awamu ya Kikwete?
Fisadi anaweza kumuogopa fisadi mwenzake? Au makelele ya jukwaani yalikufanya uamini Magufuli ni Mtakatifu? Mtu aliyehonga nyumba ya serikali Kwa hawala anawezaje kuwa Mtakatifu?Yaani sympathizers wa mafisadi ni wajinga sana. Yaani wana akili finyu sana. Yaani badala ya kujua kuwa Dkt Magufuli aliogopwa na watandaji kiasi kwamba waliogopa kufanya ufisadi na baada ya kufa walishangilia wakijua mkali kaondoka ili waibe wanadhani mama hana akili za kulijua hilo.
Of course alikuwa anaweka pembeni lakini pia aina ya Kazi za Makamu wa Rais hazihusiani moja kwa moja na utendaji..Rais amesema " upigaji ulifanyika awamu ya tano lkn jumba bovu inaanushiwa awamu ya sita. Sitakubali".
Kama angekuwa mshiriki mkuuktk uendeshaji wa serikali ya awamu ya tano rais SSH asingekubali hata awamu ya tano idhalilike.
Lkn anaona ni sawa kwakuwa hakuhusika kwa chochote. Alikuwepo kama picha tu. Mambo yote yalikuwa yakiamuliwa na kuendeshwa na JPM pekee. ....one man show.
Ni kweli aisee,kwa.sasa.anatakiwa awaondoe wote.Hata ile kauli ya VP kwamba kuna wanaccm wanamkwamisha miradi ni sahihi..Kama kuna kitu alikosea raisi SSH ni kurith viongozi wa magufuli.
Yaani hujuma lazima itokee
Yeye pia alikuwa sehem ya juu sana ktk awamu ya 5 km kuna upigaji basi hana nsmna ya kukwepaRais amesema " upigaji ulifanyika awamu ya tano lkn jumba bovu inaanushiwa awamu ya sita. Sitakubali".
Kama angekuwa mshiriki mkuuktk uendeshaji wa serikali ya awamu ya tano rais SSH asingekubali hata awamu ya tano idhalilike.
Lkn anaona ni sawa kwakuwa hakuhusika kwa chochote. Alikuwepo kama picha tu. Mambo yote yalikuwa yakiamuliwa na kuendeshwa na JPM pekee. ....one man show.
Unaweza ukakuta wewe ndio kajinga zaidi, awamu ipi ilijenga meli kwa mikataba inayozungumziwa? Soma report ya CAGYaani sympathizers wa mafisadi ni wajinga sana. Yaani wana akili finyu sana. Yaani badala ya kujua kuwa Dkt Magufuli aliogopwa na watandaji kiasi kwamba waliogopa kufanya ufisadi na baada ya kufa walishangilia wakijua mkali kaondoka ili waibe wanadhani mama hana akili za kulijua hilo.
Umeolewa na msukumma?Wasukuma wanatakiwa wajifunze kukaa kimya,na wasijione kua wajuaji au wasiwaone watu hawajui ya awamu ya 5
Ni ushamba kutaka kuendelea kuwaaminisha watu kua wao na awamu yao ya 5 ndio bora na wasafi kuliko awamu zilizopita
Mjifunze kukaa kimyaUmeolewa na msukumma?
Hao walioko bandarini ni wasukuma?
Kama kuna kitu alikosea raisi SSH ni kurith viongozi wa magufuli.
Yaani hujuma lazima itokee
Haa Yule Baba Hotuba Zake Tuzikosa Sana Maana Alikuwa Wa Aina Yake Nakumbuka Butimba Alipoongea Na Wafungwa AkamuulizaYuko busy kuongoza Malaika