Kwa siku za hivi karibuni, chama cha Mapinduzi (CCM) Kimeanza kurejesha imani kwa wananchi na wanachama waliokuwa wamekata tamaa.
Kila kona ni mjadala kuhusu Katibu Mwrnyezi wa Chama Cha Mapinduzi Komredi Paul Makonda kutokana na Uthubutu na Ujasiri katika Kusimamia Utekelezaji wa Ilani ya Chama na Dira ya Maendeleo ya Taifa, Mpango wa Maendeleo wa Taifa na Malengo ya Maendeleo Endelevu ya Dunia.
Kama mtanzania mzalendo na Mwanachama mwaminifu wa Chama cha Mapinduzi, nashauri Makonda aongezewe Nguvu ili kutekeleza vyema wajibu wa Chama Kuisimamia Serikali.
Hapa turejeshe majembe yaliyopumzishwa yaani Dr. Bashiru Ali Kakulwa, Humphrey Polepole, Prof. Kabudi na Komredi Lukuvi.
Watajwa hapo juu, wanafahamika kwa utendendaji uliotukuka, uthubutu na ujasiri wa kizalendo kwa maslahi ya nchi.
Lukuvi arejeshwe Wizara ya Ardhi akakomeshe uporaji wa viwanja uliokithiri, Bashiru awe Katibu Mkuu wa Chama, Polepole awe Mwenezi alaf Makonda aende Tamisemi kisha Mchengerwa awe Nishati na Kabudi Katiba na Sheria. Mpina Waziri Mkuu alaf Bashe Kilimo hapo hapo alipo.
Hapo nchi itaenda kwa kasi au nasema Uongo jamani?
Kila kona ni mjadala kuhusu Katibu Mwrnyezi wa Chama Cha Mapinduzi Komredi Paul Makonda kutokana na Uthubutu na Ujasiri katika Kusimamia Utekelezaji wa Ilani ya Chama na Dira ya Maendeleo ya Taifa, Mpango wa Maendeleo wa Taifa na Malengo ya Maendeleo Endelevu ya Dunia.
Kama mtanzania mzalendo na Mwanachama mwaminifu wa Chama cha Mapinduzi, nashauri Makonda aongezewe Nguvu ili kutekeleza vyema wajibu wa Chama Kuisimamia Serikali.
Hapa turejeshe majembe yaliyopumzishwa yaani Dr. Bashiru Ali Kakulwa, Humphrey Polepole, Prof. Kabudi na Komredi Lukuvi.
Watajwa hapo juu, wanafahamika kwa utendendaji uliotukuka, uthubutu na ujasiri wa kizalendo kwa maslahi ya nchi.
Lukuvi arejeshwe Wizara ya Ardhi akakomeshe uporaji wa viwanja uliokithiri, Bashiru awe Katibu Mkuu wa Chama, Polepole awe Mwenezi alaf Makonda aende Tamisemi kisha Mchengerwa awe Nishati na Kabudi Katiba na Sheria. Mpina Waziri Mkuu alaf Bashe Kilimo hapo hapo alipo.
Hapo nchi itaenda kwa kasi au nasema Uongo jamani?