kwa kaka zangu wa JF....

kwa kaka zangu wa JF....

cheusimangala

JF-Expert Member
Joined
Feb 27, 2010
Posts
2,585
Reaction score
499
kaka,
kama unamuonekano wenye viwango kama vya hawa ktk picha basi fahamu kuwa wewe ni handsome.

Kama huna muonekano huu lkn account yako ina kiasi cha kutosha kumuhonga mwanamke PRADO, basi usihuzunike sana maana hata wewe ni handsome.

kama huna muonekano kama wa hawa ktk picha na huna pesa basi wewe ni ugly man.

NB:nafanya tu kama nyie wakaka mnavyoweka picha za wadada hapa na kutoa mitazamo yenu ambayo mingine inakera hivyo kwa atakayekereka anisamehe bure.

week-end njema kwa mahandsome popote mlipo,
kwa ma ugly men fanyeni kazi kwa bidii.

2dalvud.jpg



rich.jpg







216912_159500157443742_120677067992718_356213_7536320_n.jpg
 
Mi niko katika kimdi la kwanza ingawa ndevu zangu zinamis mvi tu kama ni kigezo cha mtizamo wako Cheusimangala nitaweka dawa.
 
Mimi sina muonekano huo, wala sina pesa ya kuhonga PRADO lakini nimejaaliwa kuwa "mchezaji" mahiri, je na mimi sio handsome??.
 
Mi niko katika kimdi la kwanza ingawa ndevu zangu zinamis mvi tu kama ni kigezo cha mtizamo wako Cheusimangala nitaweka dawa.

usiweke dawa,baki hivyo hivyo,madawa sio mazuri ktk mwili wa binadamu.Hongera kwa kuwa handsome.
 
Mimi sina muonekano huo, wala sina pesa ya kuhonga PRADO lakini nimejaaliwa kuwa "mchezaji" mahiri, je na mimi sio handsome??.

ngojea nitakijibu baadae maana sitaki kukurupuka na jibu la hili swali muhimu.
 
kaka,
kama unamuonekano wenye viwango kama vya hawa ktk picha basi fahamu kuwa wewe ni handsome.

Kama huna muonekano huu lkn account yako ina kiasi cha kutosha kumuhonga mwanamke PRADO, basi usihuzunike sana maana hata wewe ni handsome.

kama huna muonekano kama wa hawa ktk picha na huna pesa basi wewe ni ugly man.

NB:nafanya tu kama nyie wakaka mnavyoweka picha za wadada hapa na kutoa mitazamo yenu ambayo mingine inakera hivyo kwa atakayekereka anisamehe bure.

week-end njema kwa mahandsome popote mlipo,
kwa ma ugly men fanyeni kazi kwa bidii.

2dalvud.jpg



rich.jpg







216912_159500157443742_120677067992718_356213_7536320_n.jpg


Pesa kidogo ya kubadilisha mboga+ Jogoo imara mpanda mitungi= Handsome

Ni Mtazamo tu washikaji..............
 
Mimi sipo kote ila kazi yangu nikikufanyia kila mara ukihitaji utawakimbia wote hao in short naweza and Iam blessed coz nina kifaa safi,kizito na chenye nguvu,naogopa kugusa mke wa mtu kozi wadada wengi nimewapiga chini ila wanaomba kuonja tu(Iam serious)
 
Mimi sina kwalifikesheni yeyote kati ya hizo ulizotaja, lakin ni mtaalamu wa kwenda uvinza na ni subscriber mzuri tu wa ule mtandao wetu,
vp stil am ugly ??? :msela::bange:
 
Mimi sipo kote ila kazi yangu nikikufanyia kila mara ukihitaji utawakimbia wote hao in short naweza and Iam blessed coz nina kifaa safi,kizito na chenye nguvu,naogopa kugusa mke wa mtu kozi wadada wengi nimewapiga chini ila wanaomba kuonja tu(Iam serious)

I love your confidence.
keep it up.
 
Mimi sina kwalifikesheni yeyote kati ya hizo ulizotaja, lakin ni mtaalamu wa kwenda uvinza na ni subscriber mzuri tu wa ule mtandao wetu,
vp stil am ugly ??? :msela::bange:

mmmmmmmh huon kuwa kutumia ule mtandao kunakufanya ugly phisically n spiritually?
hebu acha kutumia mitandao haramu japo uihandisamishe roho yako.
 
tatizo unadhani sisi wakaka tunajali! Hujui psychology ya mwanaume na mwanamke ni tofauti! Kweli nakuonea huruma! Hata kama mimi ni ugly kiasi gani, bado nitapata k tu! Maana kupata k haijalishi unavyoonekana. Nyie mtu asiposema wazuri, basi mnaumia kweli!
 
tatizo unadhani sisi wakaka tunajali! Hujui psychology ya mwanaume na mwanamke ni tofauti! Kweli nakuonea huruma! Hata kama mimi ni ugly kiasi gani, bado nitapata k tu! Maana kupata k haijalishi unavyoonekana. Nyie mtu asiposema wazuri, basi mnaumia kweli!

offcoz kama una pesa k utapata,
lkn usitake kuniambia kuwa hamna wanaume wanaotamani k na hawazipati la sivyo msamiati 'nyeto' usingekuwepo.
au kama ww ni ugly na pesa huna unaweza kupata K lkn ni zile ugly Ks..
by the way what does K mean?maana najisemea tu hata sielewi maana yake.
 
offcoz kama una pesa k utapata,
lkn usitake kuniambia kuwa hamna wanaume wanaotamani k na hawazipati la sivyo msamiati 'nyeto' usingekuwepo.
au kama ww ni ugly na pesa huna unaweza kupata K lkn ni zile ugly Ks..
by the way what does K mean?maana najisemea tu hata sielewi maana yake.

of course hadhi yako ina-determine kwa kiasi fulani hadhi ya k utakayopata! Ndio maana Jay Z anamla Beyonce. Lakini kukosa k...hapana sikia hiyo. Hata kichaa anapata angalau mara moja kwa mwaka. Nyeto inakuja pale ambapo hupati k wakati ule unahitaji. Ndio maana hata mademu pia wanapiga. Kuna kitabu kimoja nakisoma, kinaongelea men are visual creatures huku mademu wakiwa more relational. Ndio maana mademu mnajipamba ili ku-attract madume, na wanaume wanaongea ili kupata mademu. K = k*ma
 
being handsome is not an issue, the gud heart,confident and proper working D**K is everything!
 
Hakuna kitu sipendi kama mwanaume kuvaa mashati ya vitenge au khanga!
 
being handsome is not an issue, the gud heart,confident and proper working D**K is everything!

well said.
mim hata ukiwa huna proper working Dickson lkn kama una moyo uliojaa mapenzi kwangu na kwa wengine naweza kukukubali na wala sitatafuta wakukusaidia......
 
Back
Top Bottom