sekulu
JF-Expert Member
- Jan 17, 2011
- 988
- 158
Tupo sawa mapambo ya kike yawe ya kike tu utakuta jitu kama punga jinsi lilivyojiremba kwa hereni na macheni.......
Asante Sana!
Tupo sawa mapambo ya kike yawe ya kike tu utakuta jitu kama punga jinsi lilivyojiremba kwa hereni na macheni.......
tatizo unadhani sisi wakaka tunajali! Hujui psychology ya mwanaume na mwanamke ni tofauti! Kweli nakuonea huruma! Hata kama mimi ni ugly kiasi gani, bado nitapata k tu! Maana kupata k haijalishi unavyoonekana. Nyie mtu asiposema wazuri, basi mnaumia kweli!
Mimi vigezo vyote ninavyo, kwa muonekano ni handsome kama ninavyoonekana katika avatar, na pesa pia ipo.....
Mbona siwaelewi ma HB wenyewe, maana wamekaa utadhani mashoga, subiri wiki ijayo nitakuletea sampo za ma HB na mimi mwenyewe nikiwepo.
Kaaazi kweli kweli.
Fanya ufanyavyo....kuwa na Elimu pia Pesa za kutosha,sababu hakuna plastic surgary ya Pesa au Elimu.kaka,
kama unamuonekano wenye viwango kama vya hawa ktk picha basi fahamu kuwa wewe ni handsome.
Kama huna muonekano huu lkn account yako ina kiasi cha kutosha kumuhonga mwanamke PRADO, basi usihuzunike sana maana hata wewe ni handsome.
kama huna muonekano kama wa hawa ktk picha na huna pesa basi wewe ni ugly man.
NB:nafanya tu kama nyie wakaka mnavyoweka picha za wadada hapa na kutoa mitazamo yenu ambayo mingine inakera hivyo kwa atakayekereka anisamehe bure.
week-end njema kwa mahandsome popote mlipo,
kwa ma ugly men fanyeni kazi kwa bidii.
![]()
![]()
![]()
![]()
Cheusie babygirl, nilikuwa sijitambui. Ahsante kwa kunifahamisha rasmi kumbe mimi babu Ni Bonge la Handsome.
Tehe tehe teheeeh!!katavi unafahamu fika kuwa nakukubali kama mmoja wa mahandsome,na thread nilikuwekea,ila nilikua sijui kama na pesa pia unazo,ukijumlisha na hizo pesa u r the most handsome guy in all JF
offcoz kama una pesa k utapata,
lkn usitake kuniambia kuwa hamna wanaume wanaotamani k na hawazipati la sivyo msamiati 'nyeto' usingekuwepo.
au kama ww ni ugly na pesa huna unaweza kupata K lkn ni zile ugly Ks..
by the way what does K mean?maana najisemea tu hata sielewi maana yake.
offcoz kama una pesa k utapata,
lkn usitake kuniambia kuwa hamna wanaume wanaotamani k na hawazipati la sivyo msamiati 'nyeto' usingekuwepo.
au kama ww ni ugly na pesa huna unaweza kupata K lkn ni zile ugly Ks..
by the way what does K mean?maana najisemea tu hata sielewi maana yake.
![]()
CHEUSIMANGALA, NAOMBA CONTACT ZA HUYU HAPA,
manake naona moyo umehama kifuani mwangu mara baada ya kuiona hii picha,
sasa sijui na mvuto wa kwenye picha tu, au ana mvuto wa asili kweli????,
Manake hizi picha wakati mwingine mmmh!!........lol