Red Giant
JF-Expert Member
- Mar 9, 2012
- 15,658
- 20,893
Vitabu shuleni tuliaminishww kuwa Kinjekitile alifanya vile ili kuwapa wanajeshi moyo wa kupigana. Mi natilia shaka hili jambo. Limepotoshwa tu kumfichia aibu yule mzee. Kwa jinsi tunavyoamini ushirikina naona kuwa Kinjekitile aliamini dawa yake itafanya kazi.
Hadi leo watu wanajikinga kwa uchawi. Wezi wakikamatwa hukutwa na hirizi kubwa eti wanajikinga na vipigo. Wabantu imani za kishirikina zina sehemu kubwa sana kwenye maisha yetu.
Hadi leo watu wanajikinga kwa uchawi. Wezi wakikamatwa hukutwa na hirizi kubwa eti wanajikinga na vipigo. Wabantu imani za kishirikina zina sehemu kubwa sana kwenye maisha yetu.