Zanzibar-ASP
JF-Expert Member
- Nov 28, 2013
- 10,131
- 35,174
Viongozi wetu wametuambia muarabu wa Dubai aliyeuziwa bandari zetu zote za Tanganyika atahakikisha anaongeza mapato ya kutosha, ajira za kudumu maradufu na mapato shazi hivyo tumuunge mkono.
Sasa kwa kuwa CCM imekuwa chama cha kudumu hapa Tanzania na kwa zaidi ya miaka 60 ya umiliki na uendeshaji wa serikali ya Tanzania bado maendeleo yamekuwa ya kusuasua, ni wakati muafaka sasa kwa CCM ikajiuza kwa muarabu wa Dubai ili maendeleo yaje chap chap.
Makada wa CCM tengenezeni mkataba chap chap, mambo yaende haraka ili mkutano mkutano mkuu wa CCM uitishwe kwa dharula ili muarabu wa Dubai achukue chama haraka iwezekanavyo, maendeleo yaje haraka haraka.
CCM Oyeee!
Sasa kwa kuwa CCM imekuwa chama cha kudumu hapa Tanzania na kwa zaidi ya miaka 60 ya umiliki na uendeshaji wa serikali ya Tanzania bado maendeleo yamekuwa ya kusuasua, ni wakati muafaka sasa kwa CCM ikajiuza kwa muarabu wa Dubai ili maendeleo yaje chap chap.
Makada wa CCM tengenezeni mkataba chap chap, mambo yaende haraka ili mkutano mkutano mkuu wa CCM uitishwe kwa dharula ili muarabu wa Dubai achukue chama haraka iwezekanavyo, maendeleo yaje haraka haraka.
CCM Oyeee!