Carlos The Jackal
JF-Expert Member
- Feb 6, 2017
- 24,052
- 71,325
Mnajua Mfike Mahali Mumuogope Mungu, hii ni Roho ya mtu asokuwa na hatia, ilopotewa, Kwa Kuchinjwa , Tena Kuchinjwa na kutenganishwa Kichwa na Kiwiliwili.
Maumivu aloyapata marehem, wakati Chombo chenye ncha Kali kikipita Shingoni mwake , pengine akirusha miguu na mikono, Chombo che ncha kali kikipenyeza kwenye Kooo, mishipa ya Damu, Damu ikirukaaa, Kikapenya kwenye Mishipa ya faham, nahatimaye Kikapenya katikati ya maungio ya shingo, Ni wazi Dada wa Msuya alikufa Kifo chenye maumivu makubwa sana.
Kifo kilichokusudiwa, Kifo ambacho Ndani yake ,Muuaji alijawa hasira, Chuki na Roho ya kisasi ilokusudia "Nitakuonyesha", ..Na Kwa sababu hiyo, Muuaji alichagua Kuua Kwa KUCHINJA , tuseme kwamba aliuwawa akiwa tayari kasinzilishwa Kwa dawa za usingizi, yote Kwa yote, aliuwawa Kwa KUCHINJA.
Maajabu ,Leo katika Nchi ya Hasira, Nchi ambayo MaJAJI ni Matajiri wa kupindukia, Nchi ambayo hata askari anayelinda nyumba ya Jaji na wasaidizi wa Jaji ni matajiriii...
Nchi ambayo Polisi imejaa Darasa la Saba, Na Walofeli Kidato Cha Nne ndio wanaofanya Forensic investigation, Nchi ambayo alofeli Kidato Cha Nne, ndio anapewa kazi ya upepelezi.
Nchi ambayo, Wakili mwenye Uwezo mzuri, alofaulu kujua Ombwe la Sheria zetu, naaam kwakua kwake ni Kutetea mteja na Pesa, anaamua kutumia Elimu yake na uelewa wake, kumtetea mteja wake, na kweli Mteja kaachiwa huru.
Ni nani alimuua dada wa msuya? Tuambiane basi kama alijichinja tujueee.
Mdada wa kazi? Mdada wa kazi ndio muuaji? Kwamba alimshinda nguvu dada wa msuya??.
Katika uumbaji wa mwanamke, hana gut ya kuua kwa kuchinja, hawezi na haitokaa itokee.
Kama alotekeleza mauaji hayo ni mwanaume, aliyafanya kwa lengo gani ,afaidike na nini?.
Haya bana, niwashukuru kwa kuendelea kutenda haki. Hivi kama jeshi halikua na uwezo wa kipelelezi, simngeomba msaada nje?
Kwanini maisha ya watu ni mnachezea kamari namna hii?
Maumivu aloyapata marehem, wakati Chombo chenye ncha Kali kikipita Shingoni mwake , pengine akirusha miguu na mikono, Chombo che ncha kali kikipenyeza kwenye Kooo, mishipa ya Damu, Damu ikirukaaa, Kikapenya kwenye Mishipa ya faham, nahatimaye Kikapenya katikati ya maungio ya shingo, Ni wazi Dada wa Msuya alikufa Kifo chenye maumivu makubwa sana.
Kifo kilichokusudiwa, Kifo ambacho Ndani yake ,Muuaji alijawa hasira, Chuki na Roho ya kisasi ilokusudia "Nitakuonyesha", ..Na Kwa sababu hiyo, Muuaji alichagua Kuua Kwa KUCHINJA , tuseme kwamba aliuwawa akiwa tayari kasinzilishwa Kwa dawa za usingizi, yote Kwa yote, aliuwawa Kwa KUCHINJA.
Maajabu ,Leo katika Nchi ya Hasira, Nchi ambayo MaJAJI ni Matajiri wa kupindukia, Nchi ambayo hata askari anayelinda nyumba ya Jaji na wasaidizi wa Jaji ni matajiriii...
Nchi ambayo Polisi imejaa Darasa la Saba, Na Walofeli Kidato Cha Nne ndio wanaofanya Forensic investigation, Nchi ambayo alofeli Kidato Cha Nne, ndio anapewa kazi ya upepelezi.
Nchi ambayo, Wakili mwenye Uwezo mzuri, alofaulu kujua Ombwe la Sheria zetu, naaam kwakua kwake ni Kutetea mteja na Pesa, anaamua kutumia Elimu yake na uelewa wake, kumtetea mteja wake, na kweli Mteja kaachiwa huru.
Ni nani alimuua dada wa msuya? Tuambiane basi kama alijichinja tujueee.
Mdada wa kazi? Mdada wa kazi ndio muuaji? Kwamba alimshinda nguvu dada wa msuya??.
Katika uumbaji wa mwanamke, hana gut ya kuua kwa kuchinja, hawezi na haitokaa itokee.
Kama alotekeleza mauaji hayo ni mwanaume, aliyafanya kwa lengo gani ,afaidike na nini?.
Haya bana, niwashukuru kwa kuendelea kutenda haki. Hivi kama jeshi halikua na uwezo wa kipelelezi, simngeomba msaada nje?
Kwanini maisha ya watu ni mnachezea kamari namna hii?