Kwa hiyo Mrisho Gambo, kuomba kwako MSAMAHA unakiri kua Umetoa Taarifa za Uongo Bungeni zenye chuki na kisasi dhidi ya Makonda na Mchengerwa?.

Kwa hiyo Mrisho Gambo, kuomba kwako MSAMAHA unakiri kua Umetoa Taarifa za Uongo Bungeni zenye chuki na kisasi dhidi ya Makonda na Mchengerwa?.

Gambo umezingua Big Time! Kuomba kwako msamaha ni kama vile umeamua kujipakilia makaa
 
Wakurungwa are untouchable
Kajaa kwenye mfumo
 
Hakuwa amejipanga na kuwa tayari kwa anachokisimamia !!! Alisoma upepo akaona anaenda kuliwa kichwa kwenye ka-ma-ti !!! Haya hivyo, kwa hali yoyote ile yajayo haytakuwa mazuri upande wake !!
 
Hakuwa amejipanga na kuwa tayari kwa anachokisimamia !!! Alisoma upepo akaona anaenda kuliwa kichwa kwenye ka-ma-ti !!! Haya hivyo, kwa hali yoyote ile yajayo haytakuwa mazuri upande wake !!
Kwani baada ya kuzaliwa akapewa barua aje kuongoza Tanzania? Si akalime tu?
 
Ana msemo wake kwamba "Kijana ukiwa mnafiki,uzeeni unakuwa mchawi".

Yeye kawa mchawi ujanani huko uzeeni sijajua itakuwaje!
 
Kwenye hii kesi, Gambo ni Mbuzi, Mchengerwa ni Mbwamwitu, kamati ya maadili chini ya Tulia ni Fisi. Unadhani hukumu ya Gambo ni nini? Wote tulikuwa tunaijua na lazima aelekezwe kibla.
 
Kwenye hii kesi, Gambo ni Mbuzi, Mchengerwa ni Mbwamwitu, kamati ya maadili chini ya Tulia ni Fisi. Unadhani hukumu ya Gambo ni nini? Wote tulikuwa tunaijua na lazima aelekezwe kibla.
Ufisadi lazima utakuwepo, swali Gambo kama angepata na yeye mgawo angesema? kwanza ana kosa la kupokea posho bila kuhudhuria kikao
 
Vikanuni vimembana ila issue ya ubadhirifu hata makonda aliwahi isema
 
Kwa upande mwingine ukiaangalia sana Mungu sasa hivi anajibu mapema sana. Huyo Gambo akiwa mkuu wa wilaya alikuwa kiburi sana kama sikosei Korogwe alimdhalilisha dada mmoja mfanyakazi wa halmashauri na mwingine tena akiwa wilaya mojawapo huko Kigoma. Kwa hiyo ni karma imejibu tena hadharani kweupe.

Na hata hao waliomsulubisha Gambo kama kweli wamemuonea na Gambo alikuwa sahihi sio kitambo kirefu karma itafanya mambo yake.
 
Hahahahaha, amekubali yaishe amegundua anapigana vita na mhimili.
 
Mfa maji haachi kutapatapa.

Gambo anajiharibia future yak kisiasa bila sababu yoyote. Kuna maisha baada ya ubunge, sasa anachomoa betri kwenye maisha baada ya uchaguzi.
 
Shida ya jamii forums siku hizi mtu anaanzisha thread akihisi kila mtu anajua kinachoendelea. Toa habari kamili, Gambo kafanya hivi, kajibiwa hivi e.t.c, sio kila mtu yupo JF 24/7 au sio kila mtu yupo Tanzania. Ukianzisha thread usidhani kila mtu ana taarifa ya kinachoendelea. Mnakuwa kama mpo kijiweni kwenu kana kwamba jana tuliishia hapa leo tunaanzia hapa. Kuweni serious basi.
 
Back
Top Bottom