Riz king
JF-Expert Member
- Dec 30, 2018
- 275
- 547
Ijumaa kareem ndugu zangu.
Naenda kwa ufupi sana kuwa kupitia Manara nimejifunza kuwa hata iweje kwenye utendaji wangu kwa taasisi yoyote, sitakuwa mtupa maneno ya kejeli na dharau na washindani wa taasisi yangu maana siku maisha yakikupiga kofi utapoteza marafiki pande zote.
Asanteni
Naenda kwa ufupi sana kuwa kupitia Manara nimejifunza kuwa hata iweje kwenye utendaji wangu kwa taasisi yoyote, sitakuwa mtupa maneno ya kejeli na dharau na washindani wa taasisi yangu maana siku maisha yakikupiga kofi utapoteza marafiki pande zote.
Asanteni