mozilla
JF-Expert Member
- Mar 28, 2013
- 704
- 1,003
Duuuuh mkuu una manenoManara ameshindwa kusoma mchezo uzuri, ameshindwa kujua kuwa mashabiki wa simba ni msukule wa Mo, ukimgusa Barba ni sawa na kumgusa Mo.
Ameshindwa kujua unafiki wa wanaompigia makofi, wanajua yeye ni kapuku tu, tangu lini mkono mtupu ukalambwa.