Kwa hili; kweli mbowe ana upeo mdogo sana!

WanaJF!

Mwenyekiti wa CHADEMA taifa na mbunge wa jimbo la Hai, bwana Mbowe, amethibitisha kuwa yeye ana upeo mdogo sana kuhusu mambo ya sheria.

Bwana Mbowe amethibitisha hilo baada ya kueleza kuwa CHADEMA kufutwa haiwezekani kabisa na hiyo sababu aliyoitumia ndio kichekesho na imemdhalilisha kweli.

Sababu aliyoitoa bwana Mbowe ya kukingia chama chake kifua kuwa hakitaweza kufutwa na msajili si nyingine bali ni idadi ya wabunge, madiwani na wenyeviti wa vijiji.

Bwana Mbowe alieleza kuwa, "kufuta CHADEMA ni sawa na kufuta wabunge 49, madiwani zaidi ya 600 na wenyeviti wa vijiji zaidi ya 1000".

Kama bwana Mbowe angekuwa na maarifa kidogo sana ya sheria (kwa kupitia tu ile sheria ya vyama vya siasa) asinge weza kuongea hayo maneno ya ovyo kabisa kuhusu kufutwa kwa CHADEMA.

Ieleweke kuwa, chama cha siasa hakifutwi kwa kuangalia idadi ya wabunge, madiwani na hata wenyeviti wa vijiji waliotokana na chama hicho, bali kinacho angaliwa ni kama vigezo ama masharti yaliyo kwenye sheria yamevunjwa.
[MENTION][JFMP3][/JFMP3][/MENTION]

Mheshimiwa D inaonyesha wewe na chadema, chadema na wewe, umenikumbusha mbali enzi hizo kulikuwa na mchezaji anaitwa rashidi idi chama, yeye uwanjani alipewa kazi moja tu, kuhakikisha zamoyoni mogela hashiki mpira na alikuwa na fungu pekee la kazi hiyo hebu tuambie na wewe umetengewa kiasi gani kwa kazi hiyo?
 
Usilete ujinga hapa.Kama vigezo ama masharti yaliyo kwenye sheria yamevunjwa na ccm,Tendwa anaweza kukifuta?Acha ushabiki hapa.
 
WanaJF!

Mwenyekiti wa CHADEMA taifa na mbunge wa jimbo la Hai, bwana Mbowe, amethibitisha kuwa yeye ana upeo mdogo sana kuhusu mambo ya sheria.

Bwana Mbowe amethibitisha hilo baada ya kueleza kuwa CHADEMA kufutwa haiwezekani kabisa na hiyo sababu aliyoitumia ndio kichekesho na imemdhalilisha kweli.

Sababu aliyoitoa bwana Mbowe ya kukingia chama chake kifua kuwa hakitaweza kufutwa na msajili si nyingine bali ni idadi ya wabunge, madiwani na wenyeviti wa vijiji.

Bwana Mbowe alieleza kuwa, "kufuta CHADEMA ni sawa na kufuta wabunge 49, madiwani zaidi ya 600 na wenyeviti wa vijiji zaidi ya 1000".

Kama bwana Mbowe angekuwa na maarifa kidogo sana ya sheria (kwa kupitia tu ile sheria ya vyama vya siasa) asinge weza kuongea hayo maneno ya ovyo kabisa kuhusu kufutwa kwa CHADEMA.

Ieleweke kuwa, chama cha siasa hakifutwi kwa kuangalia idadi ya wabunge, madiwani na hata wenyeviti wa vijiji waliotokana na chama hicho, bali kinacho angaliwa ni kama vigezo ama masharti yaliyo kwenye sheria yamevunjwa.

Uvivu na ujinga ndiyo adui mkubwa kwa ustawi wa nchi na watu wake, jifikirie kwa makini.
 
Kila anayefikiria kuwa anaweza kufuta chama kama hicho, aangalie kwanza kama anaweza kuhimili athari zake. Pamoja na u-kada wangu kwa chama chetu tawala, sioni kama kuna uwezekano wa kufuta kambi kubwa kama hiyo halafu tukabaki salama. Kikubwa tu ni kuwa kuendelea kutumia dola kudhibiti upinzani tunajijengea mazingira hatarishi, na iko siku tutakosa pa kuficha nyuso zetu. Tunatakiwa tusome alama za nyakati, wananchi wametuchoka, na kuendelea kuwalazimisha, ni hatari kwa amani ya nchi yetu.
 
Kwenye siasa hakuna adui na wala CCM haina maadui, hayo niliyoweka hapa ni marekebisho tu kwa mwenyekiti wa CDM kwamba ameenda chaka.

sasa siuanze kurekebisha kwanza chama chako kinacho elekea kaburini? au ujasikia dili la b8 kwenye ziara ya bw mkubwa [obama] au wamekupa bonasi ndio unazitumia uku [jf] kuki pamba na kukipulizia pafyum chama chako kinacho nuka mbele za watanzania ccm? mtu yoyote aneye kipamba ccm ni sawa na kupulizia mavi pafyum,
 
Walishindwa kuwafuta ubunge leo ufute chama????????????????????!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!! makubwa!
 
Kwa Hiyo Mumeo Tendwa alivyosema kua hawezi futa CCM kwa sababu nchi itaanguka......

alitumia vifungu gani vya sheria?
muda mwingine ficha upumbavu wako wa double standard tusiuone Nchemba
 
Kwahiyo kwa kuwa kuna effect ya kurudia hizo chaguzi ndio maana chadema mnaamua kuvunja sheria makusudi kisa tu mnadhani kuna gharama katika chaguzi hivyo serikali haitachukua hatua?

Usijidanganye mkuu.

Ni sheria gani iliyovunjwa na CHADEMA?
Shilikisha akili yako kabla hujacoment
 
WanaJF!

Mwenyekiti wa CHADEMA taifa na mbunge wa jimbo la Hai, bwana Mbowe, amethibitisha kuwa yeye ana upeo mdogo sana kuhusu mambo ya sheria.

Bwana Mbowe amethibitisha hilo baada ya kueleza kuwa CHADEMA kufutwa haiwezekani kabisa na hiyo sababu aliyoitumia ndio kichekesho na imemdhalilisha kweli.

Sababu aliyoitoa bwana Mbowe ya kukingia chama chake kifua kuwa hakitaweza kufutwa na msajili si nyingine bali ni idadi ya wabunge, madiwani na wenyeviti wa vijiji.

Bwana Mbowe alieleza kuwa, "kufuta CHADEMA ni sawa na kufuta wabunge 49, madiwani zaidi ya 600 na wenyeviti wa vijiji zaidi ya 1000".

Kama bwana Mbowe angekuwa na maarifa kidogo sana ya sheria (kwa kupitia tu ile sheria ya vyama vya siasa) asinge weza kuongea hayo maneno ya ovyo kabisa kuhusu kufutwa kwa CHADEMA.

Ieleweke kuwa, chama cha siasa hakifutwi kwa kuangalia idadi ya wabunge, madiwani na hata wenyeviti wa vijiji waliotokana na chama hicho, bali kinacho angaliwa ni kama vigezo ama masharti yaliyo kwenye sheria yamevunjwa.

Vipi kuhusu Tendwa kusema hawezi kukifuta CCM hata kama kimefanya kosa kubwa sana kwasababu kina ongoza dola?
 
WanaJF!

Mwenyekiti wa CHADEMA taifa na mbunge wa jimbo la Hai, bwana Mbowe, amethibitisha kuwa yeye ana upeo mdogo sana kuhusu mambo ya sheria.

Bwana Mbowe amethibitisha hilo baada ya kueleza kuwa CHADEMA kufutwa haiwezekani kabisa na hiyo sababu aliyoitumia ndio kichekesho na imemdhalilisha kweli.

Sababu aliyoitoa bwana Mbowe ya kukingia chama chake kifua kuwa hakitaweza kufutwa na msajili si nyingine bali ni idadi ya wabunge, madiwani na wenyeviti wa vijiji.

Bwana Mbowe alieleza kuwa, "kufuta CHADEMA ni sawa na kufuta wabunge 49, madiwani zaidi ya 600 na wenyeviti wa vijiji zaidi ya 1000".

Kama bwana Mbowe angekuwa na maarifa kidogo sana ya sheria (kwa kupitia tu ile sheria ya vyama vya siasa) asinge weza kuongea hayo maneno ya ovyo kabisa kuhusu kufutwa kwa CHADEMA.

Ieleweke kuwa, chama cha siasa hakifutwi kwa kuangalia idadi ya wabunge, madiwani na hata wenyeviti wa vijiji waliotokana na chama hicho, bali kinacho angaliwa ni kama vigezo ama masharti yaliyo kwenye sheria yamevunjwa.

Huwa unakula ugoro!?
 
Yaani we ndio bure kabisa bora hata usingeuandika huu upuuzi wako maana umefichua umbumbumbu wako uliouficha kwa muda mrefu.Swali kwako wewe mbumbumbu wa hata mambo madogo madogo kama haya:Kwanini Tendwa alisema hawezi kuifuta CCM?Nijibu tafadhali kisha tuhamie katika kipengele kingine ndani ya hoja hiyo hiyo
 
Kwahiyo kwa kuwa kuna effect ya kurudia hizo chaguzi ndio maana chadema mnaamua kuvunja sheria makusudi kisa tu mnadhani kuna gharama katika chaguzi hivyo serikali haitachukua hatua?

Usijidanganye mkuu.

Na ajaribu kuifuta ndio utajua alichomaanisha KAMANDA MBOWE!
 
Kila anayefikiria kuwa anaweza kufuta chama kama hicho, aangalie kwanza kama anaweza kuhimili athari zake. Pamoja na u-kada wangu kwa chama chetu tawala, sioni kama kuna uwezekano wa kufuta kambi kubwa kama hiyo halafu tukabaki salama. Kikubwa tu ni kuwa kuendelea kutumia dola kudhibiti upinzani tunajijengea mazingira hatarishi, na iko siku tutakosa pa kuficha nyuso zetu. Tunatakiwa tusome alama za nyakati, wananchi wametuchoka, na kuendelea kuwalazimisha, ni hatari kwa amani ya nc
Una busara sana lakini unasubili nini kutoka huko ulipo maana kukaa huko ni dhambi hata kama ww hutendi dhambi!
 
MODs angalieni threads zingine ni uchafu kwenye jukwaa.Hii thread mahala pake ni TANURU LA FIKRA na cyo huku kwa great thinkers.
 
WanaJF!

Mwenyekiti wa CHADEMA taifa na mbunge wa jimbo la Hai, bwana Mbowe, amethibitisha kuwa yeye ana upeo mdogo sana kuhusu mambo ya sheria.

Bwana Mbowe amethibitisha hilo baada ya kueleza kuwa CHADEMA kufutwa haiwezekani kabisa na hiyo sababu aliyoitumia ndio kichekesho na imemdhalilisha kweli.

Sababu aliyoitoa bwana Mbowe ya kukingia chama chake kifua kuwa hakitaweza kufutwa na msajili si nyingine bali ni idadi ya wabunge, madiwani na wenyeviti wa vijiji.

Bwana Mbowe alieleza kuwa, "kufuta CHADEMA ni sawa na kufuta wabunge 49, madiwani zaidi ya 600 na wenyeviti wa vijiji zaidi ya 1000".

Kama bwana Mbowe angekuwa na maarifa kidogo sana ya sheria (kwa kupitia tu ile sheria ya vyama vya siasa) asinge weza kuongea hayo maneno ya ovyo kabisa kuhusu kufutwa kwa CHADEMA.

Ieleweke kuwa, chama cha siasa hakifutwi kwa kuangalia idadi ya wabunge, madiwani na hata wenyeviti wa vijiji waliotokana na chama hicho, bali kinacho angaliwa ni kama vigezo ama masharti yaliyo kwenye sheria yamevunjwa.

Mkuu, naona umeshapata buku 7 yako; umeenda hapo gengeni kununua makulakula ya jioni wakati wa kufuturu. Siku imepita. Siku hazigandi bhana
 
Kuifuta CDM ni kama kukaribisha NA kupigilia msumari wa " WALK TO TRUE FREEDOM" hapa TZ, au unaonaje? kama MAGAMBA Mnabisha mwambieNI huyo babu yenu MTENDWA ajaribu kukifuta hata japo nusu saa tuuuu....aone jinsi mziki wa mababu utavyokuwa.
 
Klkwyete angekuwa na upeo angalao kidogo tu wa sheria, asingewaambia wezi wa fedha za Umma wazirudishe na waondoke zao.

Sasa hapa ukiweka Mbowe alichosema na huyo jamaa alichosema, ni nani hajui sheria?

Au tuseme nani mbulula kati yao?
 
Wewe ndio mbumbumbu kabisa........hujaelewa effects za kurudia chaguzi zote hizo?

Ahaa! Kumbe unajua kuwa kinaweza kufutwa na itabidi uchaguzi urudiwe sio? Basi muelimisheni huyo Disco Jocker kuwa chama kinaweza kufutwa regardless mitakwimu ya madiwani na wabunge! Aende shule kwanza sio king'ang'ania siasa uchwara!
 
Back
Top Bottom