Dr Matola PhD
Platinum Member
- Oct 18, 2010
- 61,556
- 109,088
Mkuu nina uhakika utakuwa umejisahau na unadhani hapa upo Facebook, nakushauri uungane na William Malecela kule Facebook ili mshindane kwa kutoa status za kipuuzi na mashabiki wenu misukule wawe wanawagongea Like button.You are very right its only relevant kwa wasikilizaji wa clouds na wale ambao hawakusikiliza leo nimewaambia wasikilize kesho, iko on line na kesho atakuwepo January Makamba!. Sio lazima kila mtu asikilize Clouds ila pia sio lazima kila mtu acomment kila post, next time ukioana haikuhusu and its irrelevant, just shut down your big mouth, just shut up!. Sio lazima ukoment every post!, wata comment wenye relevance!.
Jahazi wana page yao Facebook kwa nini hizi sifa za kijinga usipost kwenye wall yao? naona posho za vazi la Taifa sasa zimeshaanza kuwalevya.