Pac the Don
JF-Expert Member
- Feb 17, 2021
- 6,177
- 7,699
Anaeamini wewe ni CDM nampa pole san masikini!! Hajui kua ww ni Lumumba FC Do or Die 🤣🤣🤣Tunashuhudia Chama chetu kikisonga kidijitali na kusajili maelfu kwa mamilioni ya wanachama.
Tunashuhudia Ccm ambayo imeanza kumeguka kati ya wapinga upigaji madili na wapiga madili.
Kwa hali hii ya kisiasa ni wazi kuwa 2025 kama tutashiriki uchaguzi basi tutatoka na ushindi mkubwa.
View attachment 2035389