Kwa hii CCM inayopasuka na sisi tunavyojipanga kidigitali 2025 tukishiriki uchaguzi tunaweza kukamata dola

Unatafuta kuolewa? Chadema hatupendi ushoga.
Ngojea ni kuwache maana unako elekea utapigwa ban bure.

Jambo la msingi nimewapa taarifa wana jf kuwa wewe siyo mwana cdm .

Ongelea mambo ya chama chako ulichokimbila ccm na cdm yetu tuwachie wenyewe.
 
Ngojea ni kuwache maana unako elekea utapigwa ban bure.

Jambo la msingi nimewapa taarifa wana jf kuwa wewe siyo mwana cdm .

Ongelea mambo ya chama chako ulichokimbila ccm na cdm yetu tuwachie wenyewe.
Ngojea ni kuwache maana unako elekea utapigwa ban bure.

Jambo la msingi nimewapa taarifa wana jf kuwa wewe siyo mwana cdm .

Ongelea mambo ya chama chako ulichokimbila ccm na cdm yetu tuwachie wenyewe.
Unatoa taarifa kama nani? Naelekea mtaa wa ufipa kufungua ofisi na wananijua mimi ni mwanachama shupavu sio wewe shabiki maandazi
 
Ngojea ni kuwache maana unako elekea utapigwa ban bure.

Jambo la msingi nimewapa taarifa wana jf kuwa wewe siyo mwana cdm .

Ongelea mambo ya chama chako ulichokimbila ccm na cdm yetu tuwachie wenyewe.
Ngojea ni kuwache maana unako elekea utapigwa ban bure.

Jambo la msingi nimewapa taarifa wana jf kuwa wewe siyo mwana cdm .

Ongelea mambo ya chama chako ulichokimbila ccm na cdm yetu tuwachie wenyewe.
Unatoa taarifa kama nani? Naelekea mtaa wa ufipa kufungua ofisi na wananijua mimi ni mwanachama shupavu sio wewe shabiki maandazi
 
Tunashuhudia Chama chetu kikisonga kidijitali na kusajili maelfu kwa mamilioni ya wanachama.

Tunashuhudia Ccm ambayo imeanza kumeguka kati ya wapinga upigaji madili na wapiga madili.

Kwa hali hii ya kisiasa ni wazi kuwa 2025 kama tutashiriki uchaguzi basi tutatoka na ushindi mkubwa.

View attachment 2035389
Shida yenu you don't have agenda. Na mlikuwa mnaponda sana kipenzi cha wananchi. So na nyinyi mnaonekana wasaliti. Labda mbadili gia angani na mtembelee mistari ya MagufuliJP. Hata kura yangu mtapata.

Sent from my Infinix X683 using JamiiForums mobile app
 
Shida yenu you don't have agenda. Na mlikuwa mnaponda sana kipenzi cha wananchi. So na nyinyi mnaonekana wasaliti. Labda mbadili gia angani na mtembelee mistari ya MagufuliJP. Hata kura yangu mtapata.

Sent from my Infinix X683 using JamiiForums mobile app

issue sio kutembelea mistari, issue ni kuuishi mistari na maono..
 
Huyu ni mwenzako hapo Lumumba!
Shida yenu you don't have agenda. Na mlikuwa mnaponda sana kipenzi cha wananchi. So na nyinyi mnaonekana wasaliti. Labda mbadili gia angani na mtembelee mistari ya MagufuliJP. Hata kura yangu mtapata.

Sent from my Infinix X683 using JamiiForums mobile app
 
Tunashuhudia Chama chetu kikisonga kidijitali na kusajili maelfu kwa mamilioni ya wanachama.

Tunashuhudia Ccm ambayo imeanza kumeguka kati ya wapinga upigaji madili na wapiga madili.

Kwa hali hii ya kisiasa ni wazi kuwa 2025 kama tutashiriki uchaguzi basi tutatoka na ushindi mkubwa.

View attachment 2035389
Mtajuana wenyewe huko CCM,usituletee nuksi zenu huko

Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom