Jumakidogo
R I P
- Jul 16, 2009
- 1,851
- 417
Nimeamua kurudi kijijini kwa muda kwa ajili ya kushiriki msimu wa kilimo. Sina hakika huko kama mitandao ya simu inapatikana. Ikiwa inapatikana basi tutaendelea kuwa pamoja. Nawashauri wote ambao wanapata mishahara kila mwezi lakini bado haitoshi. Twendeni shamba tukachape jembe maana Mungu hamtupi mja wake!! Nimepata kusoma mahali kuwa kilimo ndiyo uti wa mgongo wa Taifa hili.