Victoire
JF-Expert Member
- Jul 4, 2008
- 24,139
- 56,600
Hasira za kutukanwa?pole follow your heartMkuu kina thread moja inazungumzia Slaa kukimbia mdahalo nimewaeleza jinsi Slaa alivyo muhimu kuliko hiyo midahalo yao ya kujiingizia vijisenti nimempigia Nape na Mwenyekiti wa UVCCM Dodoma lakini wamenitukana matusi ya nguoni. Hii haizuii uamuzi wangu wa kukubaliana na ukweli badala ya kushindana na ukweli!