sagai532
JF-Expert Member
- Nov 5, 2015
- 1,149
- 560
Jingalao kwa hiyo porojo zooote pamoja na kuwapa kichapo cha kijeshi wamakonde wa mtwara bado gesi ya mtwara haiwezi kutosha kuzalisha umeme wa kutosha mpaka tununue kwa wakushi?mnachokifahamu ni kuzungusha mikono tu....subirini 2020 mzungushe mikoni halafu sisi tutaaendelea kukamata dola