Kwa haya ya kununua umeme toka Ethiopia na Ethiopia kutumia bandari ya Dar es Salaam, nasema hapana

Bepari la bariadi

JF-Expert Member
Jun 25, 2016
420
673
Jana nilimsikiliza Ndugu rais akielezea wachoongea na waziri mkuu wa ethiopia.ikiwa nipamoja na Tanzania kununua umeme kutoka ethiopia kwa minajili ya kwamba bei yao ni nafuu.kwa hili hatakama wangekuwa wanatoa bure siyo kitu cha sisi kama watanzania kufurahi.kikubwa ni sisi tuanza kuzalisha umeme wetu unaotokana na mazingira yetu na kuuza kwa wateja kwa bei rahisi.kwanini wao wwamewezakwa hili hapana aisee.tujijenge uwezo wetu bwana.siku nyaya hizi zitakazo pitia kenya zikakatwa iitakuwaje
Pia from Tz to Ethiopia ni mbali aisee.labda kuna technologia ya wireless.

Suala la pili ni hili la ethiopia kwa kuwa ni landlocked country eti inampango wa kutumia bandari ya Dar. Hivi kweli from ethiopia to Eritrea, Djiboutsomalia Egypt and Kenya. Despite ya usalama wa nchi husika.

Je nikweli kuna feasibilty ya jambo hili la Addis Abbaba kupokea mizigo yake kutokea Dar es salaam.

Sometime tuache akili zetu zitafakari bila la kuathiriwa na ukada au unazi wa vyama fulani
 
Jana nilimsikiliza Ndugu rais akielezea wachoongea na waziri mkuu wa ethiopia.ikiwa nipamoja na Tanzania kununua umeme kutoka ethiopia kwa minajili ya kwamba bei yao ni nafuu.kwa hili hatakama wangekuwa wanatoa bure siyo kitu cha sisi kama watanzania kufurahi.kikubwa ni sisi tuanza kuzalisha umeme wetu unaotokana na mazingira yetu na kuuza kwa wateja kwa bei rahisi.kwanini wao wwamewezakwa hili hapana aisee.tujijenge uwezo wetu bwana.siku nyaya hizi zitakazo pitia kenya zikakatwa iitakuwaje
Pia from Tz to Ethiopia ni mbali aisee.labda kuna technologia ya wireless.

Suala la pili ni hili la ethiopia kwa kuwa ni landlocked country eti inampango wa kutumia bandari ya Dar.hivi kweli from ethiopia to eritria,DDjiboutsomalia egypt and kenya.despite ya usalama wa nchi husika.je nikweli kuna feasibilty ya jambo hili la adis abbaba kupokea mizigo yake kutokea Dar es salaam.
Sometime tuache akili zetu zitafakari bila la kuathiriwa na ukada au unazi wa vyama fulani
Itakusaidia sana ukitumia akili yako kufikiria hata kuanzisha mradi wa kuku ili akili ifikiri jinsi ya kuwalisha kuku kila siku..usipoteze muda kufikiria mambo yaliyo nje ya uwezo wa akili yako.. ufahamu wa mambo ya biashara, teknolojia, utengamano wewe ni ZERO!
 
Kwahiyo mkurugenzi wa Tanesco atakuwa anaishi Adis ababa?

Au umeme ukikatika kule lindi tutapiga simu Adis ababa

Au nguzo ya umeme ikianguka kule naivasha hadi tutume mafund

Vitu vingine siyo vya kusema nje.hasa ukiangalia uhalisia wa jambo lenyewe kama mtanzania uliye na upeo japo wa kusoma kuandika na kuhesabu.
Kweli sisi tuuziwe umeme toka mbali kule ethiopia?
 
Kwa wakazi wa Mbeya hasa Tunduma,wanatumia umeme kutoka Zambia na upo reliable sana kuliko huu wa kwetu lakini swali ni kwamba, kutoka Ethiopia mpaka Daslam ni makilometa mangapi? Kwa nini tusinunue teknolojia na sisi tukaja kuzalisha wa kwetu?
 
Nashangaa kweli kweli, umeme kutoka ethiopia,ambayo eneo lake kubwa ni jangwa, aibu iliyo je kwa Tanzania.

Tunazo sources kibao za umeme bado tunabakia kuwa tegemezi tu, mambo ya ajabu kabisa haya.

Nashindwa kuelewa kiongozi fulani anapotoa tamko kwamba tutatumia bandari yenu,,, kwamba analazimisha wafanyabiashara kutumia bandari fulani au?.Me nachojua mfanyabiashara anaangalia sehemu ambayo ni rahisi kwake kupata faida.

Jirani wa ukweli wa kufanya nao biashara ni DRC, burundi, Rwanda and Uganda. Hawa wengine wapo kimaslahi zaidi,, kama Ethiopia nahisi deal lake ni kuuza umeme,, hili la kutumia bandari changa la macho.
 
Jana nilimsikiliza Ndugu rais akielezea wachoongea na waziri mkuu wa ethiopia.ikiwa nipamoja na Tanzania kununua umeme kutoka ethiopia kwa minajili ya kwamba bei yao ni nafuu.kwa hili hatakama wangekuwa wanatoa bure siyo kitu cha sisi kama watanzania kufurahi.kikubwa ni sisi tuanza kuzalisha umeme wetu unaotokana na mazingira yetu na kuuza kwa wateja kwa bei rahisi.kwanini wao wwamewezakwa hili hapana aisee.tujijenge uwezo wetu bwana.siku nyaya hizi zitakazo pitia kenya zikakatwa iitakuwaje
Pia from Tz to Ethiopia ni mbali aisee.labda kuna technologia ya wireless.

Suala la pili ni hili la ethiopia kwa kuwa ni landlocked country eti inampango wa kutumia bandari ya Dar.hivi kweli from ethiopia to eritria,DDjiboutsomalia egypt and kenya.despite ya usalama wa nchi husika.je nikweli kuna feasibilty ya jambo hili la adis abbaba kupokea mizigo yake kutokea Dar es salaam.
Sometime tuache akili zetu zitafakari bila la kuathiriwa na ukada au unazi wa vyama fulani

Reli ya Ethiopia inaenda mpaka Djibout lengo ni kusafirisha mizigo moja kwa moja. Sasa nashangaa uyu Rais wetu anasema Ethiopia wanataka kutumia bandari yetu,kwa akili za kawaida ni jambo la kushangaza kidogo.
Wameacha bandari zote uko mpaka waje Tanzania?
 
Kwa wakazi wa Mbeya hasa Tunduma,wanatumia umeme kutoka Zambia na upo reliable sana kuliko huu wa kwetu lakini swali ni kwamba, kutoka Ethiopia mpaka Daslam ni makilometa mangapi? Kwa nini tusinunue teknolojia na sisi tukaja kuzalisha wa kwetu?

Hili ndo jambo la kufanya, kuwekeza tufue umeme wetu sisi wenyewe vyanzo vya maji mbona tunavyo kibao?

Tunao upepo wa kutosha baadhi ya maeneo, makaaa ya mawe, gas nyingi mno, mbona tukiwekeza tunaweza.

Me nafikiri suala la Tanzania ya viwanda lianzie kwanza kwenye nishati ya umeme. Tuwekeze vya kutosha tuwe na umeme wetu usiokuwa na shaka.

Then tuanze kufungua viwanda maana hata viwanda bila umeme ni ngumu sana.
 
Kwa wakazi wa Mbeya hasa Tunduma,wanatumia umeme kutoka Zambia na upo reliable sana kuliko huu wa kwetu lakini swali ni kwamba, kutoka Ethiopia mpaka Daslam ni makilometa mangapi? Kwa nini tusinunue teknolojia na sisi tukaja kuzalisha wa kwetu?
Kweli kabisa jamaa.watufundishe kuvua samaki na siyo kutuvulia samaki
 
Reli ya Ethiopia inaenda mpaka Djibout lengo ni kusafirisha mizigo moja kwa moja. Sasa nashangaa uyu Rais wetu anasema Ethiopia wanataka kutumia bandari yetu,kwa akili za kawaida ni jambo la kushangaza kidogo.
Wameacha bandari zote uko mpaka waje Tanzania?

Lengo lao ni kuuza umeme na sio vinginevyo. Hakuna mfanyabiashara atakayeingia cost zote hizo toka Ethiopia mpaka Dar.

Tuwekeze kwenye umeme wetu wenyewe ambao utakuwa na unafuu wa bei, tuzalishe bidhaa kwa bei nzuri tuuze kwa wingi nje,, hili litakuwa deal la maana. Na nafikiri Rais wetu anaweza akaacha legacy kubwa kama ataongeza uzalishaji wa umeme kuwa kiwango cha juu na kuwa na vyanzo vingi vya kuzalisha umeme badala ya kutegemea maji na gas tu. Pia afanye juhudi atuondolee jinamizi linalomaliza hela zetu IPTL, ingawa inaweza kuwa ngumu but akiamua hashindwi kuifutilia mbali.
 
Reli ya Ethiopia inaenda mpaka Djibout lengo ni kusafirisha mizigo moja kwa moja. Sasa nashangaa uyu Rais wetu anasema Ethiopia wanataka kutumia bandari yetu,kwa akili za kawaida ni jambo la kushangaza kidogo.
Wameacha bandari zote uko mpaka waje Tanzania?
Nimetafakati sana mkuu kuhusu hili jambo.
 
Back
Top Bottom