Mung Chris
JF-Expert Member
- Sep 12, 2017
- 3,367
- 3,778
Mimi napata tabu sana na wenye hizi shahada, Ninamaana ya kwamba Mtu ana PhD lakini anapambania kitu kidogo sana, hadi najiuliza huyu PhD yake kweli ni ya Ukweli na aliipambania kwenye tafiti na mengineyo ili aipate au ni feki, ni vile tu hawaja mkamata. Mara nyingi nimewaona wenye PhD wakihangaika na mishahara ya mil 2.5 kwenda chini hapo ni baada ya makato ya kodi ya serikali.
Kwa uelewa wangu mdogo mtu akiwa na PhD yeye mara zote huwa anatafutwa kutokana na field aliyoisomea na huwa ni ghali kidogo sio mtu rahisi kumlipa. Lakini nimeona mtu anapambana kuwa na cheo hata cha kati. Maeneo ambayo nimewaona wenye PhD wakilipwa vizuri ni Kenya, na wengine wanao lipwa Hapa Tanzania kwenye vyuo kama Arusha pale ESAMI na TRAPCA nilifurahi sana nikasema elimu ya hawa watu kweli wanaifaidi sana.
Nimalize tu kusema kwamba nina wasiwasi PhD nyingi sana sana ni za kuzawadiwa na zingine ni feki ndio maana watu wanajirahisisha kuangukia kazi ndogo na vyeo vidogo. Mpaka sasa waulize wametoa journal ngapi kwa mwaka ili wasomwe waliandika nn wanasema oh kazi za ofisi ni nyingi wakati kazi hizo za ofisin pia ni sehem ya tafiti, ya kujifunza na kuandikia makala na kushauri serikali, mashirika na jamii hata wanafunzi wa vyuoni.
Kifupi tu niseme kwamba rafiki zangu tunaoendelea kusoma tusome ili tupate vyeti tulivyo visomea kwa usahihi na iwe heshima na fedha tuzipate haswa.
Kwa uelewa wangu mdogo mtu akiwa na PhD yeye mara zote huwa anatafutwa kutokana na field aliyoisomea na huwa ni ghali kidogo sio mtu rahisi kumlipa. Lakini nimeona mtu anapambana kuwa na cheo hata cha kati. Maeneo ambayo nimewaona wenye PhD wakilipwa vizuri ni Kenya, na wengine wanao lipwa Hapa Tanzania kwenye vyuo kama Arusha pale ESAMI na TRAPCA nilifurahi sana nikasema elimu ya hawa watu kweli wanaifaidi sana.
Nimalize tu kusema kwamba nina wasiwasi PhD nyingi sana sana ni za kuzawadiwa na zingine ni feki ndio maana watu wanajirahisisha kuangukia kazi ndogo na vyeo vidogo. Mpaka sasa waulize wametoa journal ngapi kwa mwaka ili wasomwe waliandika nn wanasema oh kazi za ofisi ni nyingi wakati kazi hizo za ofisin pia ni sehem ya tafiti, ya kujifunza na kuandikia makala na kushauri serikali, mashirika na jamii hata wanafunzi wa vyuoni.
Kifupi tu niseme kwamba rafiki zangu tunaoendelea kusoma tusome ili tupate vyeti tulivyo visomea kwa usahihi na iwe heshima na fedha tuzipate haswa.