Wazungu asilimia kubwa wamesha chanjwa,makali ya virusi sio mabaya Kama ambavyo hawakuchanjwa, wewe Tanzania huna chanjo yoyote ndio kwannza zimekuja milioni moja na ni msaada mkopo na sisi tupo milioni 60. Jitafakari
Acha hizo.....Ulaya tu tunaona Watu wakiwa Nyomi tena bila Barakoa..! Acha kukaririwa