NAWATAFUNA
JF-Expert Member
- Nov 14, 2019
- 13,286
- 24,003
Kwaiyo Kigoma imeathirika zaidi kwa Corona kuliko Dar ilipochezwa Darby ya kwanza?,hizi ramli zilishagonga mwamba tangia wimbi la kwanza mpaka hili la tatu.
Corona ipo ndio lakini sio lazima kutabiriana mabaya kwenye hili gonjwa.
Corona ipo ndio lakini sio lazima kutabiriana mabaya kwenye hili gonjwa.