Eti viongozi
.
Vodacom cheka bombastik *149*01#
.
Dakika 40 SmS 250 na 100MB
.
Kwa tsh 500
.
Alafu Airtel *149*99#
.
Dakika 40, SmS 1000, na 300MB
.
Kwa tsh 999
.
Sasa nani BaBa Lao???
.
WAkati sizani kama kuna mtu anaeweza kumaliza sms 1000 kwa siku moja????
.
Au kuna addicted kama hawa?????
.
.
Kama unataka kununua modem yao ya CDMA na wewe ni heavy downloader ujue imekula kwako maana download speed hata kwa dawa haifiki 200KB/s yaani maximum ni 150KB/s labda kwa kusurf speed iko murua
Ila pia 3G ya line za GSM wako poa sana hiyo unawezafika 700kB/s-2MB/s mm ndo natumia hii ningekuwa kwenye pc ningekuwekea picha...na streAm video bomba tu
home kwet airtel ndo kila kitu no za airtel za kutosha .AIRTEL YATOSHA :llama:.
Una namba ngapi za airtel
kwenye simu yako????
.
.
Airtel wana vifurushi vizuri vya kwenda mitandao yote ila speed ya internet yao ni awful. Tigo ni wezi, wanakupa dk say 15 wanazodai "kwenda mitandao yote" wakati dk 12 ni za tigo-tigo na dk 3 kwenda mitandao yote! Huu ni udanganyifu -------! Airtel ukichagua kwenda mitandao yote hawana limitation za kipuuzi km za tigo!
Duh!! Airtel yatosha bwana, usiku naona wanaacha unapata internet ya buuuuuure kabsaaa. Good job!!!
Stuck on you airtel.
naipenda airtel ,naitumia kwa simu,lakin voda ni zaid, sababu wana option yakununua bandle kwa simu nyingine,hivyo nimejikuta kwenye ipad ,lazima nitumie voda.
Airtel si wabunifu ,wameshindwa kujua umuhim wa kuweka hyo option.
baba lao ni zantel wengine wanaiga iga tu.
sh 800 unapata dakika 40 za mitandao yote, mb500 na sms 500 na mms 100
Kwani hii ni ya siku ngapi? Maana nlishajiunga na kifurushi cha jero intenet ikawa very slow!! BTW zantel wana 3g intenet ya kwenye simu?
siku moja,
wana 3g kwa dar tu mikoani hakuna.
speed yao ya gsm ni nzuri dar ila cdma ndio ya kawaida.
hata kifurushi chao cha 500 ni kizuri kuliko wote maana unapata mb 125 na dakika 25 kwenda mitandao yote.
Airtel wana vifurushi vizuri vya kwenda mitandao yote ila speed ya internet yao ni awful. Tigo ni wezi, wanakupa dk say 15 wanazodai "kwenda mitandao yote" wakati dk 12 ni za tigo-tigo na dk 3 kwenda mitandao yote! Huu ni udanganyifu -------! Airtel ukichagua kwenda mitandao yote hawana limitation za kipuuzi km za tigo!
angalia time factor, hiyo ya sh 499 ni kwa siku moja(24 hrs) wakati hivyo vya hapo juu havina deadline....ie unaweza nunua hizo mb 300 kama hujatumia ndani ya 24 hrs bando linakuwa limechacha.....
Mfano mzuri
.
Ni airtel
.
Et
25mb = 1800/=
150mb = 2900/=
250mb = 11500/=
500mb = 13800/=
1gb = 17200/=
.
Sasa ndo nn hapo wakati unapata mb 300 kwa kifurushi cha 499 ma dakika na ma sms kibao .......
.
angalia time factor, hiyo ya sh 499 ni kwa siku moja(24 hrs) wakati hivyo vya hapo juu havina deadline....ie unaweza nunua hizo mb 300 kama hujatumia ndani ya 24 hrs bando linakuwa limechacha....