kwa hali hii nani BABA lAO?? *149*01# vs *149*99#

kwa hali hii nani BABA lAO?? *149*01# vs *149*99#

.
Mbona ni akili ya kitoto sana inayo hitajika kufikiria kwa hapa...
.
Yaani mi nijiunge kwa mwezi 9999 nipate 1gb sms 2000 na dakika 300
.
Alafu wew ujiunge bundle tu la mwezi 1gb kwa 17200
.
Nani kafaidika
.
mkuu labda kama sina info za kutosha, nadhani hvo vifurshi vingine havina deadline, hicho cha 17200 si kwa mwezi....ni kama ukiweka salio kwenye simu, laweza kaa zaidi ya mwezi na lisiondoke,...so ni ngumu kulinganisha vitu viwili vyenye background tofauti....
 
Voda wameharibu walivyobagua mitandao. So matumizi ya daily bora Airtel Kisha voda unakamua wajanja night tu.
 
Eti viongozi
.
Vodacom cheka bombastik *149*01#
.
Dakika 40 SmS 250 na 100MB
.
Kwa tsh 500
.
Alafu Airtel *149*99#
.
Dakika 40, SmS 1000, na 300MB
.
Kwa tsh 999
.
Sasa nani BaBa Lao???
.
WAkati sizani kama kuna mtu anaeweza kumaliza sms 1000 kwa siku moja????
.
Au kuna addicted kama hawa?????
.
.
huyo anemaliza 1000 msg ni kiboko na lazmz atakuwa hana simatifoni maana mawasapu, mavaiba na mengine yote hayo hayajamtosha??
 
airtel bingwa Chelsea yanga. bingwa n'a mm uyui kwetu baada tu ya kujiunga n'a mabingwa n'a mm bingwa
 
Back
Top Bottom