kwa hali hii nani BABA lAO?? *149*01# vs *149*99#

kwa hali hii nani BABA lAO?? *149*01# vs *149*99#

Naipenda airtel ,naitumia kwa simu,lakin voda ni zaid, sababu wana option yakununua bandle kwa simu nyingine,hivyo nimejikuta kwenye ipad ,lazima nitumie voda.


Airtel si wabunifu ,wameshindwa kujua umuhim wa kuweka hyo option.
Hiyo Option mbona ipo mkuu, tazama fresh.. wameiweka juzi juzi tu
 
.
Si unajua mitandao yetu kama
vifaranga hivi
.
We utaona muda sio mrefu wataiga
na tena watazidishaa
.
.
Wakigeza wenzao tu mi nahama, maana nina laini za mitandao yote, Natazama upepo unakoelekea tu
 
wakati niko shule nilikuwa natuma sms hata mia tatu kwa siku. ila siku izi natumia sana internet kuliko sms na kupiga. Hii mitandao offer zao haziko fair. wanalazimisha kukupa sms dakika na mb. mfano voda kifurushi cha mb mia bei yake ni sawa na cheka bombastick yenye mb mia dakika na sms thats not fair

.
Mfano mzuri
.
Ni airtel
.
Et
25mb = 1800/=
150mb = 2900/=
250mb = 11500/=
500mb = 13800/=
1gb = 17200/=
.
Sasa ndo nn hapo wakati unapata mb 300 kwa kifurushi cha 499 ma dakika na ma sms kibao .......
.
 
Mi nimetupa voda toka wanilambe nipo airtel yatosha
 
Mambo yote ni ile ya 9999 kwa mwezi, kwenda mitandao yote dk300, sms 2000 na 1Gb airtel yatosha ndo kilakitu

.
Hapo ndipo akili za mitando yetu
.
Zilivyo finyu
.
Yani unapata dakika 300
.
Alafu sms 2000 wakati kifurushi cha 999 unapata sms 1000
.
Na 1gb juu alafu wanatuwekea tena eti 1gb kwa 17200 bila sms bila dakika......
.
Sasa kuna mtu atakae jiunga na hiyo 1gb kwa 17200 kweli????
.
.
 
Usisahau kuwa ni Dakika 40 Voda kwenda Voda, wakati Airtel ni kwenda Mitandao Yote, Mi naipenda Yatosha wiki 5999 Dakika 200, SMS 5000, 2GB wiki nzima

asisahau kuwa hiyo ni weekend tu jumatatu itabaki vilevile sh 500 dakika 20 airtel ndio baba lao.
 
.
.
Nilichokiangalia ni dakika 40
.
Sasa wewe kuna ya 499
ni 100MB dakika 25 na SMS 250 na ni airtel to airtel sasa voda dakika 40 hebu jiulize??,
.
.

Acha kupotosha ama kwa makusudi au kutokujua. Hiyo 499 ni ya mitandao yote na si airtel to airtel pekee yake. Sisi ndio wadau na watumiaji wa hii huduma.
Na sasa wameleta ingine vocha ya mia sita! Ukinunua unapewa vocha na mdogo wake i.e ya 599 na 399
Kwa 599 unapata Dakika 20 zakupiga simu kwenda mitandao yote,SMS 450 na 150MB
Kwa 399 unapata dakika 20 za airtel to airtel
 
Acha kupotosha ama kwa makusudi au kutokujua. Hiyo 499 ni ya mitandao yote na si airtel to airtel pekee yake. Sisi ndio wadau na watumiaji wa hii huduma.

.
Kuna mwenzio pale juu nimemuuliza kama mchana wa leo amekula au vip???
.
 
Eti viongozi
.
Vodacom cheka bombastik *149*01#
.
Dakika 40 SmS 250 na 100MB
.
Kwa tsh 500
.
Alafu Airtel *149*99#
.
Dakika 40, SmS 1000, na 300MB
.
Kwa tsh 999
.
Sasa nani BaBa Lao???
.
WAkati sizani kama kuna mtu anaeweza kumaliza sms 1000 kwa siku moja????
.
Au kuna addicted kama hawa?????
.
.

kwa tunaopenda speed za internet tuna nunua voda ndo baba lao...kwa wanaopenda kupiga simu airtel ndo baba lao
 
.
Hapo ndipo akili za mitando yetu
.
Zilivyo finyu
.
Yani unapata dakika 300
.
Alafu sms 2000 wakati kifurushi cha 999 unapata sms 1000
.
Na 1gb juu alafu wanatuwekea tena eti 1gb kwa 17200 bila sms bila dakika......
.
Sasa kuna mtu atakae jiunga na hiyo 1gb kwa 17200 kweli????
.
.

kuna offer na bei sahihi ya internet.
mfano vodacom wana bomba 7 na bomba30 toka nipo mdogo hadi nakua nazo bei ni ile ile hazipandi hazishuki mpaka bajeti ya mwaka jana iliyoongeza kodi ndio zikapanda bei.

ila hizi sjui cheka mara cheka bombastick kila siku zinabadilishwa.

unaweza jiuliza why kuna vitu kama hivi?

sababu ni kwamba kuna watu/makampuni yanapanga budget ya mwaka mzima ya vitu vyao. huwezi waambia wanunue cheka maana watapanga budget halafu keshokutwa bei zinabadilika au zinafutwa kabisa (bundle ya 1gb). lazima watanunua hizi hizi za kawaida ambazo bei zipo fixed kwa mwaka
 
.
umekula mchana wa leo????????
.
.

mkuu mbona unaongea pumba sana.?
hauoni aibu.?
yani unataka kutuaminisha kwamba dak.40 za voda - voda ni bora kuliko dak.40 za Airtel - mitandao yote.?

MIJITU MINGINE BWANA SIJUI IKOJE.?
 
Eti viongozi
.
Vodacom cheka bombastik *149*01#
.
Dakika 40 SmS 250 na 100MB
.
Kwa tsh 500
.
Alafu Airtel *149*99#
.
Dakika 40, SmS 1000, na 300MB
.
Kwa tsh 999
.
Sasa nani BaBa Lao???
.
WAkati sizani kama kuna mtu anaeweza kumaliza sms 1000 kwa siku moja????
.
Au kuna addicted kama hawa?????
.
.

Voda kwenda Voda hiyo, USHAKATWA TAYARI WEYE, CHEZEA!
 
mkuu mbona unaongea pumba sana.?
hauoni aibu.?
yani unataka kutuaminisha kwamba dak.40 za voda - voda ni bora kuliko dak.40 za Airtel - mitandao yote.?

MIJITU MINGINE BWANA SIJUI IKOJE.?

.
Hapo kwenye red pana nichanganya
.
Aneongea hiv ni jinsia gani???

.
 
Voda kwenda Voda hiyo, USHAKATWA TAYARI WEYE, CHEZEA!

.
Mbona life ni tamu sana tu
.
Mana hata wewe nahisi nusu ya phone contacs zako ni vodacom customers.....
.
 
.
Mbona life ni tamu sana tu
.
Mana hata wewe nahisi nusu ya phone contacs zako ni vodacom customers.....
.

Ni kweli zaidi ya nusu ni voda, lakini wenye umuhimu kibiashara zaidi asilimia tisini ni airtel!!!
 
Back
Top Bottom