.
Hapo ndipo akili za mitando yetu
.
Zilivyo finyu
.
Yani unapata dakika 300
.
Alafu sms 2000 wakati kifurushi cha 999 unapata sms 1000
.
Na 1gb juu alafu wanatuwekea tena eti 1gb kwa 17200 bila sms bila dakika......
.
Sasa kuna mtu atakae jiunga na hiyo 1gb kwa 17200 kweli????
.
.
badili system ya uandikaji unatuchosha kazi kuruka ruka mistari utafikiri mtoto wa darasa la kwanza