Kama wana eneo lao moshi wakazike tu kama mke anavyosema
Mke ndie anapanga mume akazikwe wapi ?
Ukoo uliemuoa ndie unajua unazika wapi wana ukoo wao
Kama wana eneo lao moshi wakazike tu kama mke anavyosema
Chanzo Cha kifo Cha Massawe ni kipi??.
Kwa staili hii, Mke wa Massawe anahusika Kwa namna Fulani
Massawe asizikwe, Mwili wake uchunguzi !!.
Kwan nyumba ni ya ukoo hiyoMke ndie anapanga mume akazikwe wapi ?
Ukoo uliemuoa ndie unajua unazika wapi wana ukoo wao
Kwanza ni ZIMWI, lizeee, jamaa alikua Mdogo badoView attachment 2491869
Inasikitisha sana ,Massawe huenda alipigwa na dawa za kuua taratibu na huyu ZIMWI.
Kwanza ni ZIMWI, lizeee, jamaa alikua Mdogo bado
Pengine na mtoto sio wake
Hii sura inaonekana ni ya uuaji !!.
Umesahau AFYA NI MUHIMU KWA AKILI YAKOKATAA NDAO
KIJANA USIOE
Huyu mama mbona anaonekana mkubwa kuliko jamaa kweli uchawi upoView attachment 2491869
Inasikitisha sana ,Massawe huenda alipigwa na dawa za kuua taratibu na huyu ZIMWI.
Huyu mama mbona anaonekana mkubwa kuliko jamaa kweli uchawi upo
Huyu mama mbona anaonekana mkubwa kuliko jamaa kweli uchawi upo
Wooooooooow halaf kama chotara fulani hivi kwa mbali
Mkoa wa SimiyuMke wa Massawe ni mzaliwa wa Mkoa gani?
Wooooooooow halaf kama chotara fulani hivi kwa mbali
Nimeelewa kwan hataki kaburi liwe mbele ya nyumba sasa 🙂
Mimi hata akisema anauza sioni ttz maana ni mali yake na mme wakeBado damu inachemka huyo ,kaburi likiwa ndani litamuharibia mambo yake! Sababu alizotoa ya kutaka kuuza itakuwa ngumu ndipo alipokosea atleast angesema nikitaka kupangisha nipate kodi kwa ajili ya kipato cha kulisha familia angeeleweka au kaburi likiwa ndani atakuwa anapata miweweseko kila akiliona.
Ni kweli sema wabongo wameona kama yupo kimali zaidi ndiyo maana wameona wamkazie.Mimi hata akisema anauza sioni ttz maana ni mali yake na mme wake
Naona wanawake wa bgmoyo wameifanya kama shughuli 😁 na ngoma wanapigaNi kweli sema wabongo wameona kama yupo kimali zaidi ndiyo maana wameona wamkazie.
Naona wanawake wa bgmoyo wameifanya kama shughuli 😁 na ngoma wanapiga