ukhuty
JF-Expert Member
- Oct 9, 2016
- 16,885
- 42,002
Teh tehMkuu subiri wazazi wako wafariki ujue ndugu zako.
Teh tehMkuu subiri wazazi wako wafariki ujue ndugu zako.
Mama ameshatangulia tupo na mzee ndiye bado anadunda hakuna wengine 90% naaminiMkuu subiri wazazi wako wafariki ujue ndugu zako.
Akaaaa sitaki miekazi unayo
manake maji hufuata mkondo
duuuKwetu Baba mmoja mama mmoja tuko 8, mke wa pili wa baba ana 5 wanawake watupu,na kabla ya kuolewa na baba alizaa na jamaa mwengine watoto 2wakike..
dadi isiyo na ukakasi ni upande wa mama Tu. Kwa baba mnaweza kuwa wengi wengine wanajuana wengine hata baba mwenyewe hajui Kama Ana watoto
weka vigezo labda nitakuwa mmoja kati ya watatuSie wawili baba&maa mmoja ila sidhani ka wanangu wataepuka hili manake nna plans za kuzaa na wanaume watatu tofauti
Karibu sana. Sharti namba moja uwe na uwezo wa kujitegemea just in case sipo watoto wakue vizuri. Namba mbili usiwe una mtoto mwingine. Napenda kuyabikiri matumbo ya uzazi.Hongera nami nataka kuzaa na wewe
Juzi kati nilijikuta kwenye kampani ya watu wa rangi mchanganyiko
kulikuwepo na wazungu wachache...wahindi kadhaa..wasomali
waarabu...na sisi waafrika wawili watatu..
Yes, matrelineal societies waliiona busara hii. Kwao ukoo ni wa mama na sio baba.Ndio maana wazungu wanasema MATERNITY is a fact but PARTENIY is a probability!!! Yaani una uhakika wa nani mama yako lakini kwa baba mmmmmmmmmmmmmm hata hiyo DNA huwa wanakosea!!!