Daby
JF-Expert Member
- Oct 26, 2014
- 34,961
- 80,196
Unazijua zile hesabu za baba John anaumri wa miaka 50 zaidi ya wanawe wawili. Ikiwa mmoja ana 3/4 ya umri wake je baba John anaumri gani?tupo wangapi eti
Kila nikijumlisha idadi haikuji
Unazijua zile hesabu za baba John anaumri wa miaka 50 zaidi ya wanawe wawili. Ikiwa mmoja ana 3/4 ya umri wake je baba John anaumri gani?tupo wangapi eti
Mzee alioa Wake watatu, wakwanza ndoa ya kanisani wake wawili akiwemo bimkubwa alioa Bomani Mama akiwa ndiye mke wa tatu.Haha why useme uko peke yako?
ndugu zako hupatani nao?
Mzee alioa Wake watatu, wakwanza ndoa ya kanisani wake wawili akiwemo bimkubwa alioa Bomani Mama akiwa ndiye mke wa tatu.
Mama wa kwanza wawili
Mama wa pili wanne
Mama yangu wawili
Na wa nje mmoja
Sasa kuanza kuelezea imekuwaje naonaga mtihani Sana.
ahahahha ila babu na bibi yangu mzaa baba walifanikiwa bana!Kwa standard za sasa nyinyi bado 'wazungu'
msome 'miss Natafuta' kwao walikuwaje..
HAHHAHHAHAHAHH!baba alizaa na mama mwingine 3 mama nae alikuwa ana wengine na baba mwingine huko 2 wakaoana wakatuzaa 3
baba akaoa tena huyo mama alikuwa na wawili huko akazaa na baba watatu sasa sijui tupo wangapi hapa
hao waswahili hawajui kujibu maswali tu
ahahahha ila babu na bibi yangu mzaa baba walifanikiwa bana!
Baba yangu kwao wako TASLIM!
hakuna step son wala step sister!
Kwa maisha ya kizamani zamani ilikuwa way too kawaida kuwekwa tu wazi kuwa kuna baba mkubwa ila hamwiti bibi yangu mama!
upande wa mama mmoja sio wa babu!
kwa mume wako mixer moja hatar!
Wait a minute,mbn kama inaenda kimfanano wa kiitifaki!
SIKUWAHI KUWAZA AISEE!
Hilo nalo neno......na mikoa ya Pwani ukimtambulisha ndugu yako kwa kusema huyu mdogo wangu bila kutaja hayo alio-observe mleta uzi ......utaulizwa mdogo wako kabisa baba mmoja mama mmoja?
Huenda sisi tupo wazi zaidi kujadili au kuweka hadharani watoto. Hao jamaa wanaweza kuwa na watoto ila hawataki kuweka wazi. Ulaya mambo ya ndoa kuvunjika yameanza kitambo na yameshamiri sana, na kwenye hizo ndoa watu wanazaaaaa kama mchungaji wa ufufuo na uzima, sasa unasemaje wanashangaa hizi seti za watoto?
Hahaaa kuna time kama uchizi flani lakini zikinikaa sawa ilo suala naliweka kandoKumbe hadi wewe una ndoto hizo eee?