Sidhani kama wake zake walikuja na watoto wao tayari...Mfalme Suleiman alikuwa na wake 300 masulia kibao. Je, alikuwa mswahili???
Mleta Uzi haya mambo yapo tangu zamani , na sio ya waswahili tu.
Noted!Sie wawili baba&maa mmoja ila sidhani ka wanangu wataepuka hili manake nna plans za kuzaa na wanaume watatu tofauti
Are u a Muslim?!hapana ila mimi swala la ukewenza mimi nalielewa sana kwangu halina shida maana wote tumelelewa nyumba moja na mama zetu wote bila ubaguzi wala shida yoyote .chakula kinapikwa kimoja na hakuna mtoto aliekuwa na afya mbovu .
Mmmmmmh!!!!Karibu sana. Sharti namba moja uwe na uwezo wa kujitegemea just in case sipo watoto wakue vizuri. Namba mbili usiwe una mtoto mwingine. Napenda kuyabikiri matumbo ya uzazi.
Baba alizaa na "jamaa" mwingine??Kwetu Baba mmoja mama mmoja tuko 8, mke wa pili wa baba ana 5 wanawake watupu,na kabla ya kuolewa na baba alizaa na jamaa mwengine watoto 2wakike..
Tatizo liko wapi mkuu???? Urithi???matatizo makubwa mno kwa jamii

Mama mwengine ,samahani mkuu nimekuchanganya...Baba alizaa na "jamaa" mwingine??
Ebu sema Mashallah usituhusudu..lolduuu
Yaan nimecheka daaaah.Sawa mkuu. Sisi tuko sita. Kwa baba na mama tunaofahamiana. Baba alishatangulia mbele ya haki kwa kwa hiyo hatutegemei sana mabadiliko makubwa.
Kwa upande wangu tayari nimeshachafua utaratibu. Na kwa mujibu wa Daby hadi kuja kufikia menopizi sijui kama vidole vitatosha kuhesabu watoto
Sisi kwa baba tupo tisa, mama wanne tofauti tofauti. Mama mmoja ana wawili, mwingine mmoja, mwingine mmoja,na mama yangu watano.. Its not something to be proud of. Am ashamed to do the description.
Hahaahaaa mechekaaaSie wawili baba&maa mmoja ila sidhani ka wanangu wataepuka hili manake nna plans za kuzaa na wanaume watatu tofauti