Kwa baba tuko watano, kwa mama wanne..

Kwa baba tuko watano, kwa mama wanne..

Ina kawaida ya kurithi nahisi
binafsi nimeona wamama waliozaa kwanza halafu ndo wakaolewa
na mabinti zao huwa hivyo hivyo sijui why...

Hao waliokuwa taslim hongera zao..
very rare siku hizi....
Hiyo pia haikuniacha!
my mother alipata mtoto kwanza ,after some yrs ndo akakutana na babangu,
I had my first born kabla sijaolewa ,lakini niliolewa na huyo huyo.
 
The Boss zamani wazee walizaana sana kwa sababu za kimila, ilionekana kuwa na wake wengi na watoto wengi ni utajiri, na hasa katika zile jamii ambazo zilihusika na kilimo na ufugaji kwani nyumba(mama na watoto kwa baba mmoja) zilishirikiana katika kuboresha familia ilikuwa kawaida sana kwa wazee wa vijijini kuoa wake wengi.
 
Hiyo pia haikuniacha!
my mother alipata mtoto kwanza ,after some yrs ndo akakutana na babangu,
I had my first born kabla sijaolewa ,lakini niliolewa na huyo huyo.

Hahahaa kuna vitu vingi ni kama vina nguvu fulani hivi...
unajikuta tu umedondokea mule mule
 
The Boss zamani wazee walizaana sana kwa sababu za kimila, ilionekana kuwa na wake wengi na watoto wengi ni utajiri, na hasa katika zile jamii ambazo zilihusika na kilimo na ufugaji kwani nyumba(mama na watoto kwa baba mmoja) zilishirikiana katika kuboresha familia ilikuwa kawaida sana kwa wazee wa vijijini kuoa wake wengi.

Mkuu zamani ilikuwa ndoa na watoto wanajulikana
na haki zao zote zinajulikana

Shida ya siku hizi ni kuzaa bila ndoa ovyo ovyo...
 
Duh, Mkuu sisi tupo kama heading yako ilivyo.
 
Baba mmoja mama mmoja watatu...huyo wa nne alikuwa na mama yake
but ilikuwa ndoa kabisa..

Sawa mkuu. Sisi tuko sita. Kwa baba na mama tunaofahamiana. Baba alishatangulia mbele ya haki kwa kwa hiyo hatutegemei sana mabadiliko makubwa.

Kwa upande wangu tayari nimeshachafua utaratibu. Na kwa mujibu wa Daby hadi kuja kufikia menopizi sijui kama vidole vitatosha kuhesabu watoto
 
Yaani mtu unaweza kukuta unagegeda dada yako!

Naona watu wengi wakiwa teenagers wanatembea na ndugu wa ndugu zao
mfano wewe utembee na mvulana ambae ni kaka wa dada yako wa kambo
sababu tu ni baba tofauti

hii common sana kwa teenagers
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom