fundi bishoo
JF-Expert Member
- Jun 26, 2018
- 12,956
- 22,650
Habari naomba mtu anaejua jinsi ya kulipia matangazo instagram ili kuwafikia wateja au wahitaji wa huduma ninazotoa naomba anielekeze vizuri maana sina utaalamu mkubwa kihivo.
Mwaka jana nilifungua account nikapromote tangazo na likawa limepata viewers wengi sana lakn jinsi ya kuwalipa instagram nikawa nashindwa nkapost tangazo la pili nalo pia likakubali likaenda lakin kwenye kuwalipa ndo nashindwa sa sjui nilikosea wapi ila kuna muda wakanifungia hata kucoment mwsho wa siku nikaifuta ile acc.
Sasa naomba msaada kidogo kwa mwenye uelewa mana nataka nifungue tena account nyngne naombeni muongozo ili tuendelee kupambana na huu umaskini
Mwaka jana nilifungua account nikapromote tangazo na likawa limepata viewers wengi sana lakn jinsi ya kuwalipa instagram nikawa nashindwa nkapost tangazo la pili nalo pia likakubali likaenda lakin kwenye kuwalipa ndo nashindwa sa sjui nilikosea wapi ila kuna muda wakanifungia hata kucoment mwsho wa siku nikaifuta ile acc.
Sasa naomba msaada kidogo kwa mwenye uelewa mana nataka nifungue tena account nyngne naombeni muongozo ili tuendelee kupambana na huu umaskini