Kwa aliyepta daraja la tatu kwa alama ya 13 hstry E, geo E na kiswhil C vip anawez kupta chuo kikuu

Mkuu sema umekosa point ya kuzungumza kama vipi wewe lala tu kuliko kuniita mtoto wakati nina kijiti tena cha science si ajabu ww ulikosa hata two na art yako maana watu wa science sio wagumu kuelewa kama wewe
Hivi kijiti kina umuhimu wowote kwenye maisha ya nje ya shule?
 
Mkuu hapo chuo upati kwa vigezo vya sasa unatakiwa uwe na cut-0ff point ya 4 yenye principal atleast 2 mfano huwe na D mbili ktk masomo yako yaani licha kuwa na hiyo cut-off point 4 kwa kufauru somo moja vizuri km unaprincipal mbili hupati hata km ingekuwa AEE.
Wewe ndio hujui kitu

Hapo chuo anapata kama kawa tena degree

Coz Hiyo E Ni principal pass pia
 
Naona katka hili kila mtu analake , lkn mbna ndgu yangu alipta eec na alipta chuo yupo udom ualimu
Hiyo ni zamani ambapo kigezo kilikuwa ni E mbili. Hicho kipindi E ilikuwa inahesabika kama principal pass ila kwa sasa mambo yamebadilika principal pass ni kuanzia D and above.

For now, ili kujiunga na chuo unapaswa kuwa na atleast two principal passes in your subjects ambazo ni D mbili.
 
Mdogo wangu ana matokeo haya anaweza kwenda chuo kikuu naomba maoni na ushauri wenu wapendwa!
GS F
History F
Geography E
Kiswahili ,C
 
Shenzi kabsa... HGK una feri na HGL wasemeje sa
Matusi ya nn inamaana wew hujawahi kufeli kwa chochote?huu sio uungwana kama hujisikii kumsaidia mtu kwa mawazo bora unyamaze watu tumeumbwa kutegemeana kama wew umeumbwa kujua kila kitu wengine hatufahamu vitu vyote!ubinadamu hauko hivyo ndugu!
 
mim nimtoka na two 11 matokeo yng HV histryD,geogD,kiswhlC na gsE nataka kwnda udom he ntapata
 
Wewe ndio hujui kitu

Hapo chuo anapata kama kawa tena degree

Coz Hiyo E Ni principal pass pia
E kuwa principal hiyo ni kitambo imebaki zilipendwa!!!! hakunaga principal ya E zama hizi D ndio principal pass so ili upate chuo atleast huwe na Hzo D kuanzia 2 sanuka mzee ndio ukweli huo hata km mchungu!!!
 
Ukweli ni kwamba Principle pass ni A- E lakini sijajua ni kwanini watu wanakuwa wabishi kuelewa....no evidence no right to speak, angalia Udsm invitation call for application 2019/2020 wameweka bayana Principle pass ni A-E nadhani wameshikilia msimamo wa D mbili kwa sababu wengi uwezo wao ni kupata D and not above e.g DEE Soma apo kwenye note.. minimum Principle is E
 

Attachments

  • 20190715_101111_UDSM_INVITATION TO APPLY FOR ADMISSION INTO UNDERGRADUATE DEGREE PROGRAMMES -M...pdf
    672.1 KB · Views: 20
  • Screenshot_20190716-062819.png
    Screenshot_20190716-062819.png
    109 KB · Views: 22
E kuwa principal hiyo ni kitambo imebaki zilipendwa!!!! hakunaga principal ya E zama hizi D ndio principal pass so ili upate chuo atleast huwe na Hzo D kuanzia 2 sanuka mzee ndio ukweli huo hata km mchungu!!!
Ila we jamaa ni mbishi

Hivi umesoma tcu guide book kweli ngoja nkuwekee picha na ukitaka tcu guide book ya mwaka huu ntakupatia
Screenshot_20190716-075926.jpeg
 
Sio kosa lako mkuu kumbe enzi zenu sababu wanafunz waliokuwa wanaenda chuoni walikuwa wachache ndo maana mlikuwa mnachukuliwa hadi wenye CE si aja u na wewe ulikuwepo kwenye kundi hili ndo maana unatetea ujinga wako. Nipende tu kukujulisha mkuu naweza nikawa mdogo kiumri lakini nikawa nakuzid akili afu kingine kumbuka kwamba vigezo vinabadilika kadri muda unavyozid kwenda. Enz zenu za mkoloni hadi nyie wenye vi E vyenu mlikuwa mnaruhusiwa kusoma degree sababu mlikuwa mnahitimu Elf nne na point hv na kipind hicho chuo kilikuwa UDSM peke yake sasa ili kupunguza mahitaj makubwa ya wasomi nnchini na nyie wenye CE mlikuwa mnachukuliwa. sasa hivi tunahitimu laki na ushee wasomi ni wengi kuliko nafasi zilizopo. Ndo maana serikali ikaamua kuweka vigezo vya kwenda chuo kusoma degree viwe DD ili kuboresha mabomu tunayoyatengeneza kuliko kuendelea kuchukua CE tukazalisha UPE new version
Ndugu mbona una roho ya kwanini hivyo aisee? yaani unatumia nguvu kubwa kupotosha wenzio why? kama hujui si unyamaze tu kwani sh.ngapi? Ukweli ni kuwa E ni principal pass ambayo ni 1 na kinachotakiwa ni point 4 kwenye masomo 2 kwa hiyo mwenye CE ana 3+1

Hata mwaka jana wamedahiliwa wengi tu tena vyuo mahiri kabisa kwa matokeo ya CE, acha kupotosha bwana kama we yalikushinda pambana na hali yako acha kuwakatisha tamaa wenzio
 
Back
Top Bottom