Kwa aliyepta daraja la tatu kwa alama ya 13 hstry E, geo E na kiswhil C vip anawez kupta chuo kikuu

Si kweli mkuu kigezo kikuu sio DD bali ni kupata point NNE (4) za TCU ambazo zinahitaji ufaulu wa chini wa DD au CE kutoka kwenye masomo MAWILI. Tembelea admission guide ya TCU 2019/2020.

Ila we jamaa ni mbishi

Hivi umesoma tcu guide book kweli ngoja nkuwekee picha na ukitaka tcu guide book ya mwaka huu ntakupatia View attachment 1154732

na vipi kuhusu AFF(5+0=5)

Principal pass kutoka masomo mawili,AFF ni somo moja hapo

Hiyo hupati inatakiwa principl pass 2
A-=5 F=0
Labda A=5 E=1
sawa vp kuhusu ASS(5+0.5=5.5) KWA MAELEZO YA Baba Swalehe hapa hata S ni principle kama ntakuwa nimemuelewa vizuri.
 
sawa vp kuhusu ASS(5+0.5=5.5) KWA MAELEZO YA Baba Swalehe hapa hata S ni principle kama ntakuwa nimemuelewa vizuri.
Haya tcu guide book watakayotumia mwaka huu ....

Angalia hapo
Screenshot_20190716-211326.jpeg
 
Hapana S ni SUBSIDIARY pass na si Principal pass.

AFF haina maana ya 5+0 kwa sababu F sio principal pass, na unatakiwa uwe umefauli angalau masomo mawili, hivyo si TCU wala chuo watakaosema una point 5 kwa masomo mawili.

Haya tcu guide book watakayotumia mwaka huu ....

Angalia hapo View attachment 1155286

sawa wakuu mmeeleweka vyema pia shukran kwa mchanganuo kuwa.
ACSEE.
A=principle pass=5
B=principle pass=4
C=principle pass=3
D=principle pass=2
E=principle pass=1
S=subsidiary pass=0.5
F=failure

Nimefunga mjadala hamna ubishi tena..
 
sawa wakuu mmeeleweka vyema pia shukran kwa mchanganuo kuwa.
ACSEE.
A=principle pass=5
B=principle pass=4
C=principle pass=3
D=principle pass=2
E=principle pass=1
S=subsidiary pass=0.5
F=failure

Nimefunga mjadala hamna ubishi tena..
Umeona vizuri
 
Anaenda chuo ana point nne hapo,kikubwa ana minimum admission requirements so asichague kozi yenye ushindani ili apate chuo
Kwa ushauri kozi kani ambazo anaweza kuchukua kutokana na masomo hayo ambazo hazina ushindani!
 
Matusi ya nn inamaana wew hujawahi kufeli kwa chochote?huu sio uungwana kama hujisikii kumsaidia mtu kwa mawazo bora unyamaze watu tumeumbwa kutegemeana kama wew umeumbwa kujua kila kitu wengine hatufahamu vitu vyote!ubinadamu hauko hivyo ndugu!
Ni ngumu san kumuelewesha chizi msomi make yye anaamin kile alichonacho kichwani
 
Back
Top Bottom