Kwa aliyepta daraja la tatu kwa alama ya 13 hstry E, geo E na kiswhil C vip anawez kupta chuo kikuu

E kuwa principal hiyo ni kitambo imebaki zilipendwa!!!! hakunaga principal ya E zama hizi D ndio principal pass so ili upate chuo atleast huwe na Hzo D kuanzia 2 sanuka mzee ndio ukweli huo hata km mchungu!!!
Ndugu mbona una roho ya kwanini hivyo aisee? yaani unatumia nguvu kubwa kupotosha wenzio why? kama hujui si unyamaze tu kwani sh.ngapi? Ukweli ni kuwa E ni principal pass ambayo ni 1 na kinachotakiwa ni point 4 kwenye masomo 2 kwa hiyo mwenye CE ana 3+1

Hata mwaka jana wamedahiliwa wengi tu tena vyuo mahiri kabisa kwa matokeo ya CE, acha kupotosha bwana kama we yalikushinda pambana na hali yako acha kuwakatisha tamaa wenzio
Humu kuna wachangiaji wa aina tatu-kuna wanaoshauri kutokana na yale walio SIKIA hata kama hawajayahakikisha. Kuna wanaosoma vyanzo sahihi lakini hawaelewi kile wanachosoma sijui tatizo liko wapi. Na mwisho ni wale waliokuwa makini hadi kutuwekea vigezo vya TCU au Vyuo. Ajabu kubwa ni pale mtu anapohangaika na kuweka ushahidi lakini post msululu baada ya huo ushahidi zinapingana na vigezo vilivyopo kwenye ushahidi.
Siku zote E ni Principal Pass na ina uzito wa TCU point 1 na NECTA point 5 (ingawapo hapa kati kuna mtu aliondoa E na kuja na D+ kabla ya kurudia hii system ya miaka yote). Hili halitakiwi kuwa na ubishi lakini watu wanashupalia hili hadi kutoa ushauri uliokengeuka.
Pili ili na vigezo vya kuomba udahili kwa kozi zisizo za afya kinachotakiwa ni point 4 kwenye masomo mawili ikimaanisha ya chini kabisa ni CE na DD. Na ndio maana wa CE wanakigezo cha kuomba.
Ukiwa na DD au CE kwa hiyo unaomba na unaingia kwenye mchakato na matokeo yake yanategemea ushindani uliopo kwenye hicho chuo au kwenye hiyo program. Hapa sasa ndio umakini unapotakiwa.
 
Mkuu nadhan hujaelew vzr kigezo kikuu ni DD
Si kweli mkuu kigezo kikuu sio DD bali ni kupata point NNE (4) za TCU ambazo zinahitaji ufaulu wa chini wa DD au CE kutoka kwenye masomo MAWILI. Tembelea admission guide ya TCU 2019/2020.
 
Hupati yani pamoja na kufikisha cut points ya 4.0 bado unakosa sifa za principal pass mbili ambazo ni DD yani hata uwe na AEE huendi chuo kwa sababu una cut points lkn principal pass hazijatimia
Uongo AEE=5+1+1=7
THESE ARE THE THREE PRINCIPAL PASSES
 
E kuwa principal hiyo ni kitambo imebaki zilipendwa!!!! hakunaga principal ya E zama hizi D ndio principal pass so ili upate chuo atleast huwe na Hzo D kuanzia 2 sanuka mzee ndio ukweli huo hata km mchungu!!!
Uongo soma tena guide book ya TCU
principal pass ni A,B,C,&E.
minimum of 4,means CE,DD,BE=valid for two principal pass with minimum of 4 points to university
 
Mdogo wangu ana matokeo haya anaweza kwenda chuo kikuu naomba maoni na ushauri wenu wapendwa!
GS F
History F
Geography E
Kiswahili ,C
Anaenda chuo ana point nne hapo,kikubwa ana minimum admission requirements so asichague kozi yenye ushindani ili apate chuo
 
Kuna watu wanampotosha huyu ndugu, tena nakuomba kama huja apply mkopo acha kabisa usiliwe hiyo hela ya application fee. Iko hivi kwa matokeo hayo HUPATI chuo..

Unatapaswa kuwa na D mbili ambazo ndizo principal pass. Chuo HUPATI ndugu angalia mishe zingine
Uongo either hujafika chuo ama mgumu kuelewa,principal passes ni A,B,C,D na E zamani kabla ya 2014,ilikua minimum principal pass 2 yaani,EE
kuanzia 2014 hadi sasa wamepandisha minimum ni 4 yaani ,CE or DD.
Ila Kuna miaka miwili katikati waliweka minimum admission requirements in terms of grade yaani DD,na sio principal pass......hapo ndio wajingwa wengi walipokamatwa as you know mjinga siku zote huamini na kuelewa kwa urahisi difficult informations in a difficulty way.
NOTE.
Ujinga =ni hali ya kutojua jambo fulani.
Upumbavu=kuendelea kutotaka kujua jambo fulani hata kama umeelimishwa.
 
Mm nina three ya 14, GS E, HISTORY E, KISWAHIL C, GEOGRAPHY S naambiwa hapa na wadau sina sifa za kwenda chuo kwani natakiwa niwe na principal mbili za ufaulu na principal za ufaulu ni kuanzia D na si E kwa hiyo nirudie tu paper mwakani nitafte angalau D moja tu
Acha kuwa mpumbavu mkuu,mpumbavu huwa hatafuti maarifa
 
Hupati yani pamoja na kufikisha cut points ya 4.0 bado unakosa sifa za principal pass mbili ambazo ni DD yani hata uwe na AEE huendi chuo kwa sababu una cut points lkn principal pass hazijatimia
Weka references ya uongo uliouweka hapa
 
Sawa mkuu lakin kusoma degree cuts point ya mwisho kabisa ni DD na vinginevyo hakuna anayechukua degree saut, mzumbe, duce, muce, udsm, sjut mwenye AE, BE nk. Nb usitake kutulisha matango pori wewe hao wadogo zako labda uliwapeka UGANDA sio Tanzania hii
Huu ni upumbavu.
 
Mkuu hapo chuo upati kwa vigezo vya sasa unatakiwa uwe na cut-0ff point ya 4 yenye principal atleast 2 mfano huwe na D mbili ktk masomo yako yaani licha kuwa na hiyo cut-off point 4 kwa kufauru somo moja vizuri km unaprincipal mbili hupati hata km ingekuwa AEE.
Nadhani guide book ilikua haijatoka bado,maana imetoka 13 July 2019.
 
Back
Top Bottom