Kwa 100% bingwa wa EPL ni Arsenal NBC wana Lunyasi bado, MO ana Drama sana kasajili nini? Anavuna asipopanda na ngojera ya 87B

Kwa 100% bingwa wa EPL ni Arsenal NBC wana Lunyasi bado, MO ana Drama sana kasajili nini? Anavuna asipopanda na ngojera ya 87B

PLOII

JF-Expert Member
Joined
Sep 24, 2013
Posts
1,098
Reaction score
801
Habari Wana Sports,

Kiukweli mwaka huu Arsenal imefanya sajili Bora sana ingizo la striker Victor ndani ya Chama letu inatupa confidence ya kusepa na makombe mwaka huu.


Imagine Victor yupo pale mbele left Kuna TEMINADO SAKA right MADUEKE.
Declan Rice anakichafua Dimba la chini na juu pale Martin Odegaard.
Bila kusahau Saliba na Gabriel centre Back za hatari. Kwenye benchi Kuna Kiwior, Do Santos Martinelli, Reiss, Trossard n.k

Hapa kiukweli Sina shaka na Ubingwa na impact ya usajili inaonekana. Tupo juu pale na sioni Timu ya kutusumbua ndani ya Ulaya.

Shida ipo kwa Simba sijaona striker wa kufanya mavitu vitu Ili mwaka huu tupate raha .

Kuna mtu atasema league haijaanza mbona maneno mengi majibu yake angalia kwenye sajili. Nani kasajiliwa mwenye uwezo karibia na Mpanzu?
nani zaidi ya Ahoua?
nani zaidi ya Mukwala?

nani kama Tshabalala ambaye hayupo kwetu tena?
Kiukweli sijaona middle ya maana , sioni passer kama Chama au dribbler kama Miquissoni. Wachezaji walioletwa labda kocha aimbe nao wawe Bora kwa Baadae ila viwango vyao ni vya kawaida.
Tusipokuwa makini mwaka huu wazee wa kuweka mwiko nyuma watapita Tena na sisi honestly Kila shabiki amechoka na uonevu huu.

Kiukweli MO kwa sababu alishawahi kuwa Bungeni zile siasa za kupamba with emptiness anazileta kwenye field inayohitaji Uhalisia.
"Very painful"
 
Habari Wana Sports,

Kiukweli mwaka huu Arsenal imefanya sajili Bora sana ingizo la striker Victor ndani ya Chama letu inatupa confidence ya kusepa na makombe mwaka huu.

Imagine Victor yupo pale mbele left Kuna TEMINADO SAKA right MADUEKE.
Declan Rice anakichafua Dimba la chini na juu pale Martin Odegaard.
Bila kusahau Saliba na Gabriel centre Back za hatari. Kwenye benchi Kuna Kiwior, Do Santos Martinelli, Reiss, Trossard n.k

Hapa kiukweli Sina shaka na Ubingwa na impact ya usajili inaonekana. Tupo juu pale na sioni Timu ya kutusumbua ndani ya Ulaya.

Shida ipo kwa Simba sijaona striker wa kufanya mavitu vitu Ili mwaka huu tupate raha .

Kuna mtu atasema league haijaanza mbona maneno mengi majibu yake angalia kwenye sajili. Nani kasajiliwa mwenye uwezo karibia na Mpanzu?
nani zaidi ya Ahoua?
nani ya Mukwala?

nani kama Tshabalala ambaye hayupo kwetu tena?
Kiukweli sijaona middle ya maana , sioni passer kama Chama au dribbler kama Miquissoni. Wachezaji walioletwa labda kocha aimbe nao wawe Bora kwa Baadae ila viwango vyao ni vya kawaida.
Tusipokuwa makini mwaka huu wazee wa kuweka mwiko nyuma watapita Tena na sisi honestly Kila shabiki amechoka na uonevu huu.

Kiukweli MO kwa sababu alishawahi kuwa Bungeni zile siasa za kupamba with emptiness anazileta kwenye field inayohitaji Uhalisia.
"Very painful"

Tatizo Habari unazichanganya..!
 
Habari Wana Sports,

Kiukweli mwaka huu Arsenal imefanya sajili Bora sana ingizo la striker Victor ndani ya Chama letu inatupa confidence ya kusepa na makombe mwaka huu.

Imagine Victor yupo pale mbele left Kuna TEMINADO SAKA right MADUEKE.
Declan Rice anakichafua Dimba la chini na juu pale Martin Odegaard.
Bila kusahau Saliba na Gabriel centre Back za hatari. Kwenye benchi Kuna Kiwior, Do Santos Martinelli, Reiss, Trossard n.k

Hapa kiukweli Sina shaka na Ubingwa na impact ya usajili inaonekana. Tupo juu pale na sioni Timu ya kutusumbua ndani ya Ulaya.

Shida ipo kwa Simba sijaona striker wa kufanya mavitu vitu Ili mwaka huu tupate raha .

Kuna mtu atasema league haijaanza mbona maneno mengi majibu yake angalia kwenye sajili. Nani kasajiliwa mwenye uwezo karibia na Mpanzu?
nani zaidi ya Ahoua?
nani ya Mukwala?

nani kama Tshabalala ambaye hayupo kwetu tena?
Kiukweli sijaona middle ya maana , sioni passer kama Chama au dribbler kama Miquissoni. Wachezaji walioletwa labda kocha aimbe nao wawe Bora kwa Baadae ila viwango vyao ni vya kawaida.
Tusipokuwa makini mwaka huu wazee wa kuweka mwiko nyuma watapita Tena na sisi honestly Kila shabiki amechoka na uonevu huu.

Kiukweli MO kwa sababu alishawahi kuwa Bungeni zile siasa za kupamba with emptiness anazileta kwenye field inayohitaji Uhalisia.
"Very painful"
Tatizo la mashabiki wa ASSeno ni mdomo
Basiiiiiiii.
Mkifanikiwa kufungua iyo midomo yenu basi ubingwa utakua upande wenu
 
Habari Wana Sports,

Kiukweli mwaka huu Arsenal imefanya sajili Bora sana ingizo la striker Victor ndani ya Chama letu inatupa confidence ya kusepa na makombe mwaka huu.


Imagine Victor yupo pale mbele left Kuna TEMINADO SAKA right MADUEKE.
Declan Rice anakichafua Dimba la chini na juu pale Martin Odegaard.
Bila kusahau Saliba na Gabriel centre Back za hatari. Kwenye benchi Kuna Kiwior, Do Santos Martinelli, Reiss, Trossard n.k

Hapa kiukweli Sina shaka na Ubingwa na impact ya usajili inaonekana. Tupo juu pale na sioni Timu ya kutusumbua ndani ya Ulaya.

Shida ipo kwa Simba sijaona striker wa kufanya mavitu vitu Ili mwaka huu tupate raha .

Kuna mtu atasema league haijaanza mbona maneno mengi majibu yake angalia kwenye sajili. Nani kasajiliwa mwenye uwezo karibia na Mpanzu?
nani zaidi ya Ahoua?
nani ya Mukwala?

nani kama Tshabalala ambaye hayupo kwetu tena?
Kiukweli sijaona middle ya maana , sioni passer kama Chama au dribbler kama Miquissoni. Wachezaji walioletwa labda kocha aimbe nao wawe Bora kwa Baadae ila viwango vyao ni vya kawaida.
Tusipokuwa makini mwaka huu wazee wa kuweka mwiko nyuma watapita Tena na sisi honestly Kila shabiki amechoka na uonevu huu.

Kiukweli MO kwa sababu alishawahi kuwa Bungeni zile siasa za kupamba with emptiness anazileta kwenye field inayohitaji Uhalisia.
"Very painful"
Arsenal subiri mpaka April ndio utoe huo utabiri, wanaanzaga vizuri ila mwishoni wanaharibu.
 
Naona mihemko ya Simba na Yanga umeibeba moja kwa moja ukatua nayo kwenye EPL na Arsenal yako. Umesahau kabisa kuwa Arsenal kila msimu mnaanza mkiwa favorites ila kufikia April ndipo msemo wa ngoma ya watoto haikeshi unakuwa bayana.

Mnategemea Madueke kuchukua ndoo? Na uzuri Chelsea huwa hatuchoki kuwaingiza mkenge kwa kuwauzia magalasa yetu maana hatupendi kabisa mnyanyue makwapa. Huwa inawachukua muda sana kujua tuliwaingiza mjini😁
 
Naona mihemko ya Simba na Yanga umeibeba moja kwa moja ukatua nayo kwenye EPL na Arsenal yako. Umesahau kabisa kuwa Arsenal kila msimu mnaanza mkiwa favorites ila kufikia April ndipo msemo wa ngoma ya watoto haikeshi unakuwa bayana.

Mnategemea Madueke kuchukua ndoo? Na uzuri Chelsea huwa hatuchoki kuwaingiza mkenge kwa kuwauzia magalasa yetu maana hatupendi kabisa mnyanyue makwapa. Huwa inawachukua muda sana kujua tuliwaingiza mjini😁
Tunalijua hilo ndio maana hiyo namba inavyuma vya kutosha Do Santos na Trossard wapo timamu. Tuna kumbukumbu ya Luis Mzee, Kai na Sasa MADUEKE. Arsenal hatukuwa na striker ujio wa Victor wanaleta Confidence
 
Wana Arsenal kwa sasa tupo vizuri
FB_IMG_17548861629185491.jpg
 
Tunalijua hilo ndio maana hiyo namba inavyuma vya kutosha Do Santos na Trossard wapo timamu. Tuna kumbukumbu ya Luis Mzee, Kai na Sasa MADUEKE. Arsenal hatukuwa na striker ujio wa Victor wanaleta Confidence
Ongezea Willian, Cech, ...........

Tena Willian alisema kabisa baadaye kwamba muda wote aliokaa hapo Arsenal hakupaelewa kabisa kwani hakukuwa na maisha ya club kubwa ya soka, bali kama kikundi fulani cha wacheza mbina (ngoma ya kisukuma)😁😁
 
😅😅 Nyie hamtaridhika hata arsenal akichukua ligi mtauliza uefa akichukua uefa mtauliza super cup akipata super mtakuja na kakombe kenu ka dunia ili tu mjiridhishe kuiponda arsenal
Tupo na nyinyi mpaka muache mpira mkauze mitutu 😂
 
Ongezea Willian, Cech, ...........

Tena Willian alisema kabisa baadaye kwamba muda wote aliokaa hapo Arsenal hakupaelewa kabisa kwani hakukuwa na maisha ya club kubwa ya soka, bali kama kikundi fulani cha wacheza mbina (ngoma ya kisukuma)😁😁
Kichaaa yule . Cech at least alitusaidia
 
Leo mashabiki wa man u wapo wapi 😂siwaonni kabisa
Inatakiwa wazoee maisha magumu kama sisi mashabiki wa Arsenal though hatukuwahi kuwa wabovu kiasi Cha kuwa line moja na Brighton.
 
Back
Top Bottom