mangungu

Māngungu Mission was the second mission station established in New Zealand by the Wesleyan Missionary Society. Located near Horeke, in the Hokianga Harbour, it was founded in 1828 by the missionaries John Hobbs and James Stack after the first WMS mission station in the country had been sacked the previous year. Māngungu Mission was abandoned in 1855 when Hobbs, the sole missionary at the site, relocated to Auckland. The residence that Hobbs built and lived in at the mission has been preserved by Heritage New Zealand and is now a museum.

View More On Wikipedia.org
  1. kavulata

    JamiiForums Tanzania Shida ya Simba ni Mangungu kutumia busara zake badala ya Katiba ya Simba kuongoza timu.

    Mangungu inaivuruga Simba, anatumia busara kuongoza badala ya kuongoza kwa mujibu wa Katiba iliyopo. Tabia hii inampatia shida na lawama dhidi ya upande wa mwekezaji na chawa wake. Mangungu anachelewesha ukamilishaji wa mchakato wa mabadiliko Simba, hafai.
  2. COARTEM

    JamiiForums Tanzania Mangungu ni pandikizi la Yanga ndani ya Simba, shtukeni

    Wanachama na Wapenzi wa Simba huyo MANGUNGU ni pandikizi la Yanga msipomtoa mtaendelea kufungwa mpaka mkimbie nchi. Mzee matendo yake yanajieleza wazi kabisa kuwa siyo simba damu. Mangungu kachomekwa awe mwwnyekiti wa Simba ili alinde maslahi ya Yanga. Kuna mchezo mchsfu ulipangwa hadi na...
  3. M

    JamiiForums Tanzania Dharau kubwa: Mangungu apaita Kaliua kijiji cha porini

    Kaliaua ni mji wa zamani sana. Huyu mzee anajifanya hapajui?
  4. Ponjoro wa Kinondoni

    JamiiForums Tanzania Mheshimiwa Murtaza Mangungu ni Kiongozi bora kuzidi Engineer Hersi Said

    Mara baada ya kupata wasaha wakumsikiliza mara kadhaa, nimejiridhisha kuwa ndugu zetu wa Simba wana kila sababu ya kuhakikisha anabaki madarakani ili kuimarisha timu yao. Sioni kiongozi wakumzidi pale Simba, huyu anaweza kuongoza hata taasisi kubwa na ya heshima kama Yanga au Ikulu. Hongereni...
  5. bullbar

    JamiiForums Tanzania Mangungu lazima abaki Simba sports Club

    Sisi kama wana Dar es Salaam Young Africans, tuna unga hoja za Mangungu akiwa kama kiongozi halali wa Simba na tena maamuzi yake yaheshimiwe na wanachama pamoja na viongozi wote wa Simba..
  6. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania Mangungu na Magori waweka mambo sawa Simba, wasitisha Mvutano wa Baraza la Wadhamini

    Bodi ya Wakurugenzi ya Klabu ya Simba imefikia uamuzi wa kusimamisha kwa muda masuala na matukio yote yaliyokuwa yakiendelea kuhusiana na Baraza la Wadhamini la klabu hiyo, ili kutoa fursa kwa uongozi kuangazia maandalizi ya msimu mpya wa mashindano. Uamuzi huo umefikiwa katika kikao cha Bodi...
  7. Ponjoro wa Kinondoni

    JamiiForums Tanzania Wazo: Murtaza Mangungu apewe Urais wa Tanzania ili atuvushe

    Nashauri haraka iwezekanavyo ndugu Murtaza Mangungu apewejahazi hili ambalo limekwama ili aweze kulivusha salama salmini.
  8. kavulata

    JamiiForums Tanzania Shida ya Simba ni wanachama sio MO wala Mangungu, waliponzwa na Manji. Katiba ya Simba ni vuluvulu

    Wanachama wa Simba baada ya kubamizwa kwa miaka 3 mfululizo na Yanga ya Yusuph Manji walimkubali Mo Dewji kama mdhamini wa Simba kwa mihemko bila kujiuliza sana. Baada ya Simba ya Mo kuibamiza Yanga kwa miaka 4 mfululizo walitengeneza Katiba ya Simba inayomzunguuka mo zaidi kuliko timu ya Simba...
  9. Expensive life

    JamiiForums Tanzania Mangungu na Tray Again ni dhaifu ndio maana wapinzani wetu wanawapenda

    Kwa sisi wazoefu wa football ya nchi hii tunajua kuwa, hizi timu mahasimu wawili simba na yanga zinahitaji kuwa na viongozi katili kweli kweli. Jiulize kwanini mahasimu wetu yanga linapokuja suala la mangungu wanamtetea kweli kweli? Jibu ni hili, dhaifu rahisi kuingilika. Jamaa ni mbobevu...
  10. Frank Wanjiru

    JamiiForums Tanzania Mangungu: Nilitoa taarifa kuhusu mkutano nikajibiwa kuwa kuna marathon

    “Mimi ndiye Mwenyekiti wa Simba Sc kwa kuchaguliwa na wanaofanya mabadiliko ni Wanachama wa Simba Sc na yapo matakwa kisheria yanayowalazimu kufanya hayo mabadiliko. “Mkutano wa dharura una utaratibu wake wa kuitishwa, nilipokea barua kutoka Serikalini na nilivyopokea niliiwasilisha kwa Wajumbe...
  11. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania Mangungu: Mwenyekiti wa Bodi anapinga vipi Mkutano wa Wanachama wakati hatokei upande wao?

    Mwenyekiti wa Klabu ya Simba SC, Mangungu; "Kwa mujibu wa Katiba anaeitisha Mkutano ni M/Kiti wa Klabu, Halafu Bodi tayari walishajadiliana na upande wa MO Dewji ulipendekeza majina yake ambayo yapo kwenye orodha iliyotajwa leo." "Mwenyekiti wa Bodi anapinga vipi Mkutano wa Wanachama wakati...
  12. Mafyangula

    JamiiForums Tanzania Mangungu: Rushwa imefunika kwenye mpira, ambapo Kuna watu wameahidiwa nyumba

    Ila huyu mzee ni mshamba sana, hajui anachokizungumza, kweli pale Simba viongozi wao ni makopo matupu kabisa. Peleka ushaidi sasa kwenye mamlaka acha kuropoka ========== “Kuna watu wameahidiwa nyumba, wameahidiwa kujengewa maduka.” Kauli ya Mwenyekiti wa Klabu ya Simba, Murtaza Mangungu
  13. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania Mangungu: Tukitendewa kwa usawa bingwa atapatikana kwa haki

    Baada ya kukosa ubingwa kwa mara ya tano mfululizo, Murtaza Mangungu, Mwenyekiti wa Simba SC amesema; "Kukiwa na mazingira ya kiushindani na timu zote 16 zinazoshiriki Ligi Kuu zikitendewa kwa usawa, na kukiwa na mashindano ya haki, naamini bingwa anaweza akapatikana vizuri."
  14. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania Mashabiki wa Simba, baada ya Mangungu, mchagueni Joseph Rwegasira (Jayrutty) kuwa Mwenyekiti wa klabu yenu

    Bila shaka Wanalunyasi mtakuwa mnatamani kupata kiongozi kijana ambaye ana maoni makubwa juu ya klabu yenu kama ambavyo Yanga wamewatesa misimu hii minne mfululizo baada ya Engineer Hersi Said kuchukua kijiti cha Rais wa Klabu baada ya Mshindo Msolla. Mnahitaji uongozi wenye maono, uwezo wa...
  15. Pdidy

    JamiiForums Tanzania Ushauri kwa mzee wangu Mangungu Zanzibar njoo na mabaunsa hawa watu hawafai

    Ushauri wangu ni huu🤝🤝🤝🤝🤝🤝👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇
  16. Pakome

    JamiiForums Tanzania Namshauri Mangungu wa Simba astaafu kwasababu anaweza kuendelea kuvunjiwa heshima

    Yanayoendelea kuhusiana na Mangungu ni kuvunjiwa heshima yake Kawaida hali kama hii ikishatokea basi njia sahihi ni kujiuzulu kwasababu kuendelea kuongoza matokeo yake ni kuzidi kuvunjiwa heshima Heshima ni jambo la msingi sana pasipo heshima hakuna uwezekano wa kuongoza watu Wanaomvunjia...
  17. Kipenzi Changu

    JamiiForums Tanzania Hasira za Mashabiki; Mangungu aokolewa na Polisi

    https://youtube.com/shorts/tOJxCv3CcT0?si=xSS3Qrohs5htvSKG Japo Kwenye mechi ya leo Mangungu hana kosa lolote, ila polisi wangeacha kidogo ale mitama
  18. Ponjoro wa Kinondoni

    JamiiForums Tanzania Mangungu Aapa kusajili Yeye Mwenyewe endapo Atashinda Uchaguzi wa Simba

    Hii ni kumaanisha kwamba, jamaa atagombea tena. Hongera sana genius Mangungu, tunakutegemea.
  19. Ponjoro wa Kinondoni

    JamiiForums Tanzania Mangungu is Green and Yellow

    Hongera sana mwananchi, Jasusi la ukweli, hakika unaifanya kazi yako kwa ufanisi ulio tukuka. Hongera sana mzee Mangungu, hongera waliomfanyia scouting na kumsajili pale Simba.
  20. N

    JamiiForums Tanzania Mbinu za CCM tu ndizo zitakazomuwezesha Mangungu na genge lake kushinda tena nafasi za uongozi Simba

    Kwa mujibu wa katiba ya Simba viongozi wote wa kuchaguliwa wanafika ukomo mwezi huu mwishoni. Hadi sasa wanasimba hatuoni dalili yoyote ya uchaguzi tukimaanisha hakuna kamati iliyotangazwa kwa mujibu wa katiba kuendesha zoezi hilo kuanzia hatua za awali ambazo ni kutangazwa tarehe ya uchaguzi...
Back
Top Bottom