Fundisi Muhapa
JF-Expert Member
- Nov 25, 2013
- 4,422
- 2,115
Hii ishu yote ya viroba ni muendelezo wa kutokua makini. Tatizo lilianza serikali ilipoamua kufumbia macho viroba kuuzwa kiholela.
Tulishauri sana vipigwe marufuku kungali mapema ila kwa kua labda walinufaika basi wakakaa kimya.
Sasa ni kuisoma namba kila mmoja. Atakaezidiwa atajua cha kufanya mbele ya safari. Maana hawa watu hawaeleweki.
Tulishauri sana vipigwe marufuku kungali mapema ila kwa kua labda walinufaika basi wakakaa kimya.
Sasa ni kuisoma namba kila mmoja. Atakaezidiwa atajua cha kufanya mbele ya safari. Maana hawa watu hawaeleweki.